Tamaduni Music

Tamaduni Music

Niliona interview moja wazungu wanafanya documentary kuhusu muziki wa kisasa Tanzania, kipindi wako Arusha kuna chalii mmoja dread kauwa mbaya Dar es salaam yaani. Eti wale wanaimba Bongo Fleva lakini Arusha hiphop.
Hiphop Africa! Ulaya wenyewe wamechemka, huo ni muziki wa wamarekani
 
Wanafanya mziki kuwaimbia masela kitaa na machizi badala ya kuwaimbia mademu na pesa ili wapate pesa. Saivi wamebaki kusifiwa mtaani huku mifukoni patupu.
Mziki unalipa.
 
Bado natafuta collabo kali zaidi ya hii KILA SIKU ya Nikki Mbishi,Godzilla,One na Belle 9.

Kuna Collabo yoyote kutokea tamaduni music inaweza kuwa zaidi ya hii?

Nikki kaumiza...Zizi hatari(r.i.p) Uno kapita fresh. Chorus ya Belle 9[emoji1316][emoji1316]

Kuna Collabo kali zaidi ya hii kutokea Tamaduni Music kweli?...

Forgive me.
Collabo nyingine Kali ni PATA RAHA
Nikki, One, Stereo chorus Ben pol
 
Kuna chuma kinaitwa TAMADUNI NATION,humo ndani vipo vichwa kama Clint Fierce P Mawenge, Ghetto Ambassador na Mad Kichaa.
 
Pia kina chuma kinaitwa AMKA TANZANIA,humo kuna vichwakama Uno,P Mawenge,Samaki mwenye kiu ndani ya maji,Wakazi,Zaiid Yao,Unju,Singa Singa. Ni balaaa zito[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Walipo leo ndio matokeo ya kifeli.
Walitaka kulilisha soko product waliokuwa wanatoa wao.

Jirani ya Zaidi alikuwa anafanya midondoko yao bila mafanikio kaswitch kwenye Trap na ngoma ya Wo wo wo. Impact yake ilionekana kitaifa hata mifukoni mwa Zaidi.

Miaka michache kidogo ONE aliojiwa XXL alionekana ni mtu mwenye stress sana. Mwenyewe alikili kuwa hayupo vizuri financial na kumshukuru sasa dada rose anaempa mishe za hapa na pale zinazomuwezesha kukusanya mia 2 mia 3
Unatakaje yani? Huku waliko ndiko tunakotaka wawe,huko unakotaka wawepo.
 
Back
Top Bottom