PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Niliona interview moja wazungu wanafanya documentary kuhusu muziki wa kisasa Tanzania, kipindi wako Arusha kuna chalii mmoja dread kauwa mbaya Dar es salaam yaani. Eti wale wanaimba Bongo Fleva lakini Arusha hiphop.
Hiphop Africa! Ulaya wenyewe wamechemka, huo ni muziki wa wamarekani
Hiphop Africa! Ulaya wenyewe wamechemka, huo ni muziki wa wamarekani