Hii ni Siri yenye laana kama tupu ya mzazi...HISIA mi naona ndio ngoma Kali ya tamaduni,humo yumo stereo,Nick na Suma mnazalet
Collabo nyingine Kali ni PATA RAHABado natafuta collabo kali zaidi ya hii KILA SIKU ya Nikki Mbishi,Godzilla,One na Belle 9.
Kuna Collabo yoyote kutokea tamaduni music inaweza kuwa zaidi ya hii?
Nikki kaumiza...Zizi hatari(r.i.p) Uno kapita fresh. Chorus ya Belle 9[emoji1316][emoji1316]
Kuna Collabo kali zaidi ya hii kutokea Tamaduni Music kweli?...
Forgive me.
Unatakaje yani? Huku waliko ndiko tunakotaka wawe,huko unakotaka wawepo.Walipo leo ndio matokeo ya kifeli.
Walitaka kulilisha soko product waliokuwa wanatoa wao.
Jirani ya Zaidi alikuwa anafanya midondoko yao bila mafanikio kaswitch kwenye Trap na ngoma ya Wo wo wo. Impact yake ilionekana kitaifa hata mifukoni mwa Zaidi.
Miaka michache kidogo ONE aliojiwa XXL alionekana ni mtu mwenye stress sana. Mwenyewe alikili kuwa hayupo vizuri financial na kumshukuru sasa dada rose anaempa mishe za hapa na pale zinazomuwezesha kukusanya mia 2 mia 3
Kwa roho mkunjufu sitoruhusu utunduwazi/Hii ni Siri yenye laana kama tupu ya mzazi...