Tamasha la kizimkazi linadhaminiwa na nani? Na lina lengo Gani? Naona watu maarufu wamejaa kizimkazi

Tamasha la kizimkazi linadhaminiwa na nani? Na lina lengo Gani? Naona watu maarufu wamejaa kizimkazi

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Kizimkazi ni kwao namba 1 wetu.
Kuna hili tamasha linafanyika huko.
Naona wasanii, media, mashabiki maarufu wa Yanga na Simba wanagharamikiwa Kila kitu kuinogesha Kizimkazi festival
Hili tamasha la Kizimkazi Lina tija Gani kwenye michezo au Kwa Watanganyika.
Yaani watu mamia Kwa mamia wanapelekwa kizimkazi kucheka na kutaniana wakati nyumbani Ngara watoto hawana madawati, vijana hawa ajira, hakuna hospital, maji ya kunywa n.k
Awamu iliyopita kila kitu kilikuwa Charo Sasa naona Kizimkazi inapendelewa zaidi kuliko sehemu nyingine Tanganyika
Hili tamasha limefutwe halina tija
 
Kizimkazi ni kwao namba 1 wetu.
Kuna hili tamasha linafanyika huko.
Naona wasanii, media, mashabiki maarufu wa Yanga na Simba wanagharamikiwa Kila kitu kuinogesha Kizimkazi festival
Hili tamasha la Kizimkazi Lina tija Gani kwenye michezo au Kwa Watanganyika.
Yaani watu mamia Kwa mamia wanapelekwa kizimkazi kucheka na kutaniana wakati nyumbani Ngara watoto hawana madawati, vijana hawa ajira, hakuna hospital, maji ya kunywa n.k
Awamu iliyopita kila kitu kilikuwa Charo Sasa naona Kizimkazi inapendelewa zaidi kuliko sehemu nyingine Tanganyika
Hili tamasha limefutwe halina tija
Chawa

Kama huamini kwa utaratibu huu huu mwezi ujao tangaza Chato
 
Kizimkazi ni kwao namba 1 wetu.
Kuna hili tamasha linafanyika huko.
Naona wasanii, media, mashabiki maarufu wa Yanga na Simba wanagharamikiwa Kila kitu kuinogesha Kizimkazi festival
Hili tamasha la Kizimkazi Lina tija Gani kwenye michezo au Kwa Watanganyika.
Yaani watu mamia Kwa mamia wanapelekwa kizimkazi kucheka na kutaniana wakati nyumbani Ngara watoto hawana madawati, vijana hawa ajira, hakuna hospital, maji ya kunywa n.k
Awamu iliyopita kila kitu kilikuwa Charo Sasa naona Kizimkazi inapendelewa zaidi kuliko sehemu nyingine Tanganyika
Hili tamasha limefutwe halina tija
bora chato ilikua inajengwa miundombinu, ambayo mtanzania yeyote akihamia kule ataitumia....
huyu anatapanya pesa tu na kugawa hovyo, pesa zinaishia mifukoni mwa watu
 
Kizimkazi ni kwao namba 1 wetu.
Kuna hili tamasha linafanyika huko.
Naona wasanii, media, mashabiki maarufu wa Yanga na Simba wanagharamikiwa Kila kitu kuinogesha Kizimkazi festival
Hili tamasha la Kizimkazi Lina tija Gani kwenye michezo au Kwa Watanganyika.
Yaani watu mamia Kwa mamia wanapelekwa kizimkazi kucheka na kutaniana wakati nyumbani Ngara watoto hawana madawati, vijana hawa ajira, hakuna hospital, maji ya kunywa n.k
Awamu iliyopita kila kitu kilikuwa Charo Sasa naona Kizimkazi inapendelewa zaidi kuliko sehemu nyingine Tanganyika
Hili tamasha limefutwe halina tija
Kama kweli humjui Mdhamini wao basi nitaanza kuamini kuwa huenda Watanzania tumepumbazwa Fikra na Mwenge.
 
Back
Top Bottom