Tamasha la kizimkazi linadhaminiwa na nani? Na lina lengo Gani? Naona watu maarufu wamejaa kizimkazi

Tamasha la kizimkazi linadhaminiwa na nani? Na lina lengo Gani? Naona watu maarufu wamejaa kizimkazi

Watoto wa Mama kizimkazi acheni tule Bata akisepa mjengoni shangwe baibai.
 
Kizimkazi ni kwao namba 1 wetu.
Kuna hili tamasha linafanyika huko.
Naona wasanii, media, mashabiki maarufu wa Yanga na Simba wanagharamikiwa Kila kitu kuinogesha Kizimkazi festival
Hili tamasha la Kizimkazi Lina tija Gani kwenye michezo au Kwa Watanganyika.
Yaani watu mamia Kwa mamia wanapelekwa kizimkazi kucheka na kutaniana wakati nyumbani Ngara watoto hawana madawati, vijana hawa ajira, hakuna hospital, maji ya kunywa n.k
Awamu iliyopita kila kitu kilikuwa Charo Sasa naona Kizimkazi inapendelewa zaidi kuliko sehemu nyingine Tanganyika
Hili tamasha limefutwe halina tija
viongozi wa tamasha wamefanya mahojiano na azan tv jana asubuhi na kika kitu wameweka wazi
 
Kizimkazi ni kwao namba 1 wetu.
Kuna hili tamasha linafanyika huko.
Naona wasanii, media, mashabiki maarufu wa Yanga na Simba wanagharamikiwa Kila kitu kuinogesha Kizimkazi festival
Hili tamasha la Kizimkazi Lina tija Gani kwenye michezo au Kwa Watanganyika.
Yaani watu mamia Kwa mamia wanapelekwa kizimkazi kucheka na kutaniana wakati nyumbani Ngara watoto hawana madawati, vijana hawa ajira, hakuna hospital, maji ya kunywa n.k
Awamu iliyopita kila kitu kilikuwa Charo Sasa naona Kizimkazi inapendelewa zaidi kuliko sehemu nyingine Tanganyika
Hili tamasha limefutwe halina tija
Na bado, hujasikia na dreamliner yetu mpya itapokelewa huko?
 
Inawezekana limeanzia Zanzibar,hakuna ubaya hapo,na mwaka kesho ni zamu ya Tanzania bara...
 
Kweli nimeamini duniani wawili wawili sio tu katika kufanana sura, basi hata kufanana mawazo, nimekua nikiwaza mawazo hayahaya kuhusu Tamasha la Kizimkazi- Kwanini? Faida zake?Kwanini viongozi wengi wa serikali wapo huko? Vipi wasanii wetu? Kwanini Kizimkazi inataka kuwa kama Dhifa au Sherehe ya kitaifa? Anyway, nataka kuleta uzi wa Kizimkazi nakutana na uzi wa Kizimkazi! Aah basi!
 
Back
Top Bottom