Tamasha la mwaka huu Mwanza, wananzengo hamjawatendea haki

Tamasha la mwaka huu Mwanza, wananzengo hamjawatendea haki

Zamani kulikuwa na nyumba ndani kulikuwa na mbwa wa kali,alafu nje kuna bonge la bango "HATARI KUNA MBWA WAKALI".Sasa hivi wale mbwa wakali,wengi wao hawapo kwa hiyo sasa hivi limebaki bango "HATARI KUNA MBWA WAKALI" lkn ndani hamna kitu.

Jamaa lazima wajitafakari upya najua ni ngumu kuporomoka kwa siku moja,lkn wakiendelea na hizi sera zao wataliua tamasha lao wenyewe kwa ujinga wao ,kwani wametengezeza matabaka ambayo mwisho wa siku wao ndio wanaumia.Mimi niliambiwa na jamaa yangu dereva wa malori hata tamasha la Moro halikuwa zuri na kwa baadhii ya picha nilizoziona za Mtwara jamaa walichemka,ila sijui hiyo mikoa mingine.

Zamani hits zote za mwaka husika wasanii wana ziperform katika ktk FIESTA ,ila sasa hivi waliodominate game kwa 80% kwa mwaka huu una beef nao matokeo yake tamasha linakuwa bovu na watu wanaingia sababu tu ya mazoea,lkn si kwa ule ubora wake wa kila mwaka.
Pointi 100%
 
Show ya Tanga haikuwa yake alipanda kumpa kampani Blue
Itakuwa ilipangwa hakuna linalotokea bahati mbaya na huenda alilipwa kufanya hivyo maana nakumbuka baada ya fiesta watu ndipo walikuwa wanafunguka kuwa idea ya flani kutokea kama suprise alipanga Ruge nakadhalika na kadhalika
 
Wewe ni G Habash au B Dozen? Mnona unajiweka mstari wa mbele sana kusafisha Miguu ya bata?
Kutofautiana na wewe kwa kukupa facts hakunifanyi kuwa mfanyakazi wa CMG na hata ikiwa kweli kuna tatizo kwani?
Watu wanaisema CMG miaka rudi miaka nenda lakini imesimama tu miaka youte mpaka sasa Fista haijapata mpinzani japokuwa kila mwaka ikianza threads humu uwa zinasema haina mvuta bora ya mwaka uliopita yani umekuwa kama wimbo but yet it still stands.
Lakini ni kawaida kwa kila kitu chenye mafanikio hata Mhasimu wa clouds Diamond naye alianza tabiriwa kupotea zaidi ya miaka minane iliyopita ila mpaka leo yupo anazidi kupanda.
 
Naona unayakataa maneno yako,hebu kasome ww ulichokiandika, umesema mwenyewe "jamaa hawaingizi hela" . EFM unawaona wale baada ya mwaka tamasha lao la KOMAA CONCERT, litapata wadhamini na litakuwa kubwa sasa wanatengeneza ile trust, wadhamini waamini na washafanikiwa sasa hivi wa Biko, hatujui mwakani na Majizo huko nyuma pamoja na vigisu alizokuwa akifanyiwa lkn alikuwa anaandaa matamasha (Likizo tyme, matamasha ya kwa fujo Dj's) makubwa, tena kwa ufanisi mkubwa. Baada ya miaka mitatu tutaongea kuhusu Fiesta, Komaa concert na Wasafi, sasa hiyo list ya wasanii wako wakupiga show kwenye kipaimara, unaipeleka ktk tamasha kubwa kama la Fiesta , Fiesta itapotea pole pole na mtapotea tu labda mbadilike. Sasa CMG mpaka wameunda prime Times alafu unasema hawaingizi hela, tusidanganyane.
"Fiesta bado inatamba na ukitafakari kwa undani ni kwamba ile show hawaingizii ela, ela inatoka kwa mdhammini ambaye ni tigo "
Huo ndiyo mstari niliyouandika au unapinga kuwa sikuandika hivyo rudi kwenye thread usome upya.
Wabongo Bwana eti wasanii wa kipaimara, sema tu watu mnaichukia CMG wakati mnaisikiliza clouds na kufuatilia fiesta.
Juzi EFM walikuwa Tanga pia naomba uniambie walipeleka wasanii gani wa bei ghali ambao siyo wa kipaimara? Show za bure wanazofanya EFM uwa wanapeleka wasanii gani? Mbona uwa hamsemi hilo?
Narudia sema nilichokiandika ni hiki "Fiesta bado inatamba na ukitafakari kwa undani ni kwamba ile show hawaingizii ela, ela inatoka kwa mdhammini ambaye ni tigo " kama unaweza kuelewa nimemaanisha ela ya kugharamia show haipatikani kwenye viingilio kwakuwa ukifanya calculation ya haraka wanachokusanya kwenye viingilio ni kidogo compared na walicho invest hapo ndipo ugumu wa kuandaa show kama fiesta unapotoka. Kupata mdhamini kama tigo siyo jambo la mchezo lazima awe ameona potential ya uanchokifanya na awe ana hakika atapata promo la maana kutokana hizo show.
Na tigo anapta promo kweli maana kila kipindi kuanzia asbh mpaka asbhi anatajwa tu.
 
"Fiesta bado inatamba na ukitafakari kwa undani ni kwamba ile show hawaingizii ela, ela inatoka kwa mdhammini ambaye ni tigo "
Huo ndiyo mstari niliyouandika au unapinga kuwa sikuandika hivyo rudi kwenye thread usome upya
Hicho uluchoki quote ni sawa useme side na saidi, Yusuph na Joseph kile kile au hela ya mdhamini sio hela. Kitu hakiingizi hela alafu bado unakiundia chombo maalumu(Prime Times Promotion) kwa ya kuratibu shughuli zake, hamna kitu kama hicho kaka Fiesta wanaingiza hela kupitia viingilio na wadhamini na ni hela ndefu mwisho siku zote zinahesabika kama faida zitokanazo na Fiesta.
 
Hicho uluchoki quote ni sawa useme side na saidi, Yusuph na Joseph kile kile au hela ya mdhamini sio hela. Kitu hakiingizi hela alafu bado unakiundia chombo maalumu(Prime Times Promotion) kwa ya kuratibu shughuli zake, hamna kitu kama hicho kaka Fiesta wanaingiza hela kupitia viingilio na wadhamini na ni hela ndefu mwisho siku zote zinahesabika kama faida zitokanazo na Fiesta.
Inaelekea hujaelewa, maana yangu ni kwamba show kama show kwa kiingilio haingizi ela inayotosha kuendesha hiyo show, and the bottom line ya kusema hivyo ilikuwa kukueleza ni kwanini wengine hawafanyi show za namna hiyo. Fiesta inaendeshwa kwa udhamini wa tigo na wala siyo viingilio ndiyo maana nilimaliza kwa kusema kuandaa show kama fiesta ni vigumu sana ukitaka jua hilo waulize Jux na Vanessa ambao wao wenyewe wanakiri kuwa wasanii waliokuwa nao walikuwa wanawapiga push tu wanaisha kuwalipia usafiri ma rmaradhi lakini kasheshe walilokumbana nalo si la kitoto na tour yao ilipoisha walishukuru sana Mungu.
narudia tena kwa kiingilio Fiesta ni Loss tu imesimama coz ya uthamini wa tigo.
 
Binadamu tunatofautiana sana,,,,,, hivi nipoteze muda wangu niende kwenye huo ujinga eti.......MIKONO JUU....MIKONOJUU.....SAY YOOO!!!!, unashangilia recorded CD? na makelele ya mtuu mmoja????
 
Binadamu tunatofautiana sana,,,,,, hivi nipoteze muda wangu niende kwenye huo ujinga eti.......MIKONO JUU....MIKONOJUU.....SAY YOOO!!!!, unashangilia recorded CD? na makelele ya mtuu mmoja????
Hahahaaaaaa Mkuuu kuna hawa beki tatu, Machinga, Wanafunzi walioko Mavyuo kwa kifupi Vijana walioko kwenye Barehe huwambiii kitu kuhusu kwenda huko ili nae apate cha kusimulia Ukubwani
 
Jumamosi ya wikii hii nilikuwa Mwanza nikasema ngoja namimi nikahudhulie kwenye tamasha, lakini kwa jinsi nilivoona muitikio ulikuwa mzuri na mapungufu pia yalikuwepo yakutosha, kwa lugha ingine Tamasha linazidi kupoteza mvuto siku hadi siku hii sijui inaletwa na Hari ngumu ya ki uchumi kwa wahudhuriaji au wahudhuriaji kulizoea tamasha.

Kwa mwaka huu hamjawatendea haki wakazi wa Mwanza kwa upande wa burudani, listi ya wasanii iliyotumbuiza asilimia kubwa ilikuwa haikubaliki na wahudhuriaji
mfn: Wakazi kwa baadhi ya wanaomfatilia ni msanii anaefanya vizuri lakini usiku wa jumamosi ilijidhihirisha kuwa wafuasi wake ni wana twitter na sio nzengo wa Mwanza, ilipelekea kurushiwa mawe na makopo ya maji, pia hii nakemea ni kama ushamba kwa wahudhuriaji

Anyway nifupishe, waandaaji wa matamasha Mwanza kaaeni mkijua kwa muda ambao nimeifahamu mwanza kwa juu juu tu Mwanza na Arusha ni Mapacha, listi ya wasanii haikuridhisha fanyieni kazi hilo malalamiko ni mengi tofauti na sifa zinazosikika..

wengi walitarajia angalau Dogo Janja, JayMo, Mr Blue, Maua Sama, Mesen Selektah, Chege, The Mafik, Zaiidi, Young Killer na Navy Kenzo wangekuwepo ila hao wote hawakuwepo, na waliofanya vizuri angalau Weusi na Fid Q, Rostam wajaribu kubadili shoo zao zimezoeleka na wanaonekana wakawaida

Kuna hili lingine nalo sio zuri, enzi zile watangazaji walikuwa wakipanda jukwaani kuhaipu na kutambulisha wasanii lakini mwaka huu imefikia wasanii wanajitambulisha wenyewe jukwaani, yaani ni mtangazaji mmoja tu alihaipu wakati tamasha linaanza anza baada ya hapo mambo yaliyoendelea Mungu ndio ajuae, Sound pia ilikuwa na mwangwi.

Naamini wengine pia humu walihudhuria wanaweza wakashusha walivoviona ili sehemu zingine isitokee


Umeongea vizuri, hao uliowataja ni wasanii si wanamuziki.....watu wanataka muziki wa live, sasa uje uwapelekee wasanii wanaoimba playback unataka wahudhuliaji wafanyaje? Wapelekee wapenzi kitu cha uhakika, muziki si playback.
 
kab
Umeongea vizuri, hao uliowataja ni wasanii si wanamuziki.....watu wanataka muziki wa live, sasa uje uwapelekee wasanii wanaoimba playback unataka wahudhuliaji wafanyaje? Wapelekee wapenzi kitu cha uhakika, muziki si playback.

yaani wameharibu sana aisee, nadhani kati ya sehemu zote walizopita Mwanza wameharibu haswaa
 
Naona unayakataa maneno yako,hebu kasome ww ulichokiandika, umesema mwenyewe "jamaa hawaingizi hela" . EFM unawaona wale baada ya mwaka tamasha lao la KOMAA CONCERT, litapata wadhamini na litakuwa kubwa sasa wanatengeneza ile trust, wadhamini waamini na washafanikiwa sasa hivi wa Biko, hatujui mwakani na Majizo huko nyuma pamoja na vigisu alizokuwa akifanyiwa lkn alikuwa anaandaa matamasha (Likizo tyme, matamasha ya kwa fujo Dj's) makubwa, tena kwa ufanisi mkubwa. Baada ya miaka mitatu tutaongea kuhusu Fiesta, Komaa concert na Wasafi, sasa hiyo list ya wasanii wako wakupiga show kwenye kipaimara, unaipeleka ktk tamasha kubwa kama la Fiesta , Fiesta itapotea pole pole na mtapotea tu labda mbadilike. Sasa CMG mpaka wameunda prime Times alafu unasema hawaingizi hela, tusidanganyane.
hahahaha punguza kumbomoa mdau
 
Binadamu tunatofautiana sana,,,,,, hivi nipoteze muda wangu niende kwenye huo ujinga eti.......MIKONO JUU....MIKONOJUU.....SAY YOOO!!!!, unashangilia recorded CD? na makelele ya mtuu mmoja????
ila umeweza kucoment kwenye uzi unaozungumzia Mikono Juu, Piga kelele, Say yooo..
 
kab


yaani wameharibu sana aisee, nadhani kati ya sehemu zote walizopita Mwanza wameharibu haswaa


Muziki si playback jamani, wasanii wa kibongo fleva wanaboa mno....kucheza hawajuwi na wal hata kuimba hawajuwi.....yaani shida tupu na ndiyo maana watu wamewachoka.
 
CMG bado sana maana ilipokuja EFM ilisemekana itaifunika sasa ni miaka bado iko vile vile trend za kila kitu bado vituo vina copy CMG ukwei ni bado sana kuifunika.
Kuandaa show siyo rahisi, umesema ni rahisi ukiwa na wadhamini ofcourse yes, sasa mpaka uje upate hao wadhamini ndipo shida ilipo maana inabidi uwe na cha ziada cha kuwashawishi mpaka wakupe udhamini.
Jiulize kwanini vituo vingine havifanyi show Tanzania nzima kama Fiesta, Ofcourse siyo Tanzania nzima ila ni show inayofika sehemu kubwa? Au unahisi wengine hawataki? Jibu ni kwamba siyo rahisi na ndiyo maana hata mawingu waliamua kutengeneza kampuni ya Prime Times ndiyo iwe inasimamia show ya fiesta baada ya kugundua ni kitu kinachohitaji kuwa handled vizuri zaidi.
Kuhusu suala la ela huenda hujanielewa rudi usome vizuri nilicho kisema labda utaelewa.
Kibiashara udhamini una malengo mawili
1. Tigo wenyewe kujitangaza
2. Namna fulani ya kupunguza kodi kwa mapato waliyoyaingiza kama hujaenda shule hili swala la kodi unaweza usilielewe kabisa...
 
Back
Top Bottom