Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hiyo ulikuwepo kwenye huo mkutano wao au ni umbea tuu wa watoto wenzako wa O-Level.?Pole mgombea wenu amekataliwa na Watanzania
Aliwadanganya Wazungu atashinda Urais ili awauzie Nchi
Tangu mapinduzi, ASP na baadaye ccm haijawahi shinda uchaguzi Zanzibar.Labda nikuambie tu Mwinyi atashinda kwa kishindo
Mimi mwenyewe muda huu naelekeo Kkoo shimoni kununua kisu kikali halafu nakinoa kiwe kikali zaidi.Maalim Sefu amewatangazia wafuasi wake watembee na majambia, unadhani wazanzibar hawajui hilo?
Ha ha tangu upate matoto matatu machupa umekuwa nangebe kweli tuliza mshono wewePole mgombea wenu amekataliwa na Watanzania
Aliwadanganya Wazungu atashinda Urais ili awauzie Nchi
Kumbe ni bashite huyuHa ha tangu upate matoto matatu machupa umekuwa nangebe kweli tuliza mshono wewe
Ndo siasa mnazozipenda.Mimi mwenyewe muda huu naelekeo Kkoo shimoni kununua kisu kikali halafu nakinoa kiwe kikali zaidi.
Nikikutana tu na mboga mboga za kijani zenye kuwasha nakifanyia kazi.
Sio tangu mapinduzi, yaani kabla ya mapinduzi ASP/CCM haikuwahi kushinda Zanzibar ndio wakaona isiwe nongwa wakapindua. Sema Asha Bakari alisema kuwa nchi hawaitoi kwa makaratasi, sasa huenda mara hii kama Maalim Seif atasimamia kauli yake, nchi wataitoa kwa damu kama walivoichukua.Tangu mapinduzi, ASP na baadaye ccm haijawahi shinda uchaguzi Zanzibar.
Huwa wanasaidiwa na ccm bqra kupora ushindi.
Labda nikuambie tu Mwinyi atashinda kwa kishindo
Hali ni tia maji tia maji huko unguja!! Pamoja na "wabunge na wawakilishi kutaka wasipingwe" ndio maruhani wanatishia amani sasa kwa kura zao zijazo!!!Ulianza siasa Baada ya lissu kupigwa risasi ?
Kama alivyomfufua Amina Chifupa ati leo Gwajiboy licha ya uongo ule anataka watu wamuamini kwenye ubunge!!Labda Gwajima amfufuwe huyo uliyemweka kwenye avatar yako