Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Afrika Mashariki lafunguliwa mjini Addis Ababa

Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Afrika Mashariki lafunguliwa mjini Addis Ababa

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Afrika Mashariki lilifunguliwa mjini Addis Ababa, nchini Ethiopia.

Tamasha hilo litafanyika kwa siku kadhaa na kuonesha thamani ya sanaa na utamaduni ya watu wa Afrika Mashariki kwa kuonesha bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na watu wa Afrika, vyakula na dawa za jadi, kazi za sanaa na kadhalika.

VCG31N1241321798.jpg

VCG31N1241321744.jpg
 
Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Afrika Mashariki lilifunguliwa mjini Addis Ababa, nchini Ethiopia.

Tamasha hilo litafanyika kwa siku kadhaa na kuonesha thamani ya sanaa na utamaduni ya watu wa Afrika Mashariki kwa kuonesha bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na watu wa Afrika, vyakula na dawa za jadi, kazi za sanaa na kadhalika.

View attachment 2262328
View attachment 2262329
Ningependa kukufahamu mkuu wewe Ni Nani ? Nimetokea kuvutiwa na ripoti zako
 
Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Afrika Mashariki lilifunguliwa mjini Addis Ababa, nchini Ethiopia.

Tamasha hilo litafanyika kwa siku kadhaa na kuonesha thamani ya sanaa na utamaduni ya watu wa Afrika Mashariki kwa kuonesha bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na watu wa Afrika, vyakula na dawa za jadi, kazi za sanaa na kadhalika.

View attachment 2262328
View attachment 2262329
Kwahiyo hizo simbi na vibuyu ndio utamaduni?
 
Tamasha kama hilo lilishawahi fanyika ndani ya A.Mashariki?
Nalog off Z
 
Napenda sana matamasha kama haya kwa mwenye kujua kwa hapa Dar huwa yanafanyika wapi,naomba utupe muongozo.
 
Back
Top Bottom