Tamasha la utamaduni na sanaa la Kuqa, China lawavutia watalii wengi

Tamasha la utamaduni na sanaa la Kuqa, China lawavutia watalii wengi

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Kuanzia tarehe 15 hadi 17 mwezi Juni, tamasha la 18 la utamaduni na utalii wa Qici ambalo pia ni tamasha la kwanza la utamaduni na sanaa za Qiuci mjini Kuqa, China lilifunguliwa. Shughuli mbalimbali za kitamaduni kama vile maonyesho ya fataki, maonyesho ya urithi wa utamaduni usio wa mali duniani, na uimbaji wa opera ziliwavutia watalii wengi.

VCG111388198335.jpg

VCG111388198322.jpg

VCG111388198326.jpg

VCG111388198332.jpg

VCG111388198330.jpg
 
Back
Top Bottom