Tamasha la Wasafi ''Wasafi Festival" jijini Dar es Salaam

Mondi...namkubali sana huyu jamaa ingawa nyimbo zake zmejaa upupu
Namkubali ni hustler

Ila kiba naskia show zake anazifanyia ghetto hapendi kujitangaza
Kiba anahusika na nini apa au ni genye tu kwake?
 
Nilikuwa na wasiwasi na mvua lkn nimegundua kila mtu na Starehe yake
,sasa hii ni saa 10 jioni hivi je baadaye.
 
ahahaha
 
Group la WhatsApp members 500?
Si huwa wanaishia 257?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…