Lissu na wewe wote ni wanasiasa ndo maana kila tukio unalichukulia kisiasa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Hapana mimi nayachukulia matukio mengi ki-realistic na kitaalam. Lissu ni mwana sheria na ana deal na siasa zaidi. Kama ambavyo Lissu amebobea kwenye Mambo ya sheria na siasa mimi nami naweza sema kuwa ni mwana sayansi na ni mmoja wapo wa watu wachache Tanzania ambao tumebahatika kuwa na utaalam ambao ninao. Siasa na sheria sizijui vizuri bali nasomasoma tu kama wengine.
Ninacho weza kukuhakikishia ni kuwa nina elimu ya kutosha na ninajiamini katika mambo mengi ninayo Comments kuhusu fani yangu. Sibahatishi au kugusa gusa maneno bali mengi ninayajua na kuyaelewa. Mimi sio msomi wa vitabu tu bali pia nina experience ya kazi yangu niliyoisomea.
Napenda pia utambue kuwa mimi ni product ya vyuo vya nje na sio product ya vyuo vyetu vya kudesa kwa ajili ya mtihani. Nimefanya practicals na kazi katika makampuni mbali mbali ya kimataifa nje na kujifunza mambo mengi sana ya kiufundi na uundaji. Na advantage kubwa ambayo ninayo ni kuwa naijua elimu yetu na naweza linganisha elimu yetu na elimu ya vyuo vya nje. Najua tofauti yake. Aliyesoma Tanzania utamjua kwa porojo za siasa na propaganda za maazimio na mafanikio.
Naomba jiulize kitu kimoja tu, kwa nini ndugu zetu wakenya wanatushinda sisi katika mambo mengi, wakati sisi tuna kila kitu nchini? Wana nini wenzetu kuliko sisi? Ukipata jawabu la swali hilo hapo ndiyo nafikiri utajua kuwa sisi ni nani na tuna capacity gani ya utendaji wa kazi.
Ni kupe kidogo hapa tabia ya mtanzania kulingana na jinsi nilivyo m-observe. Mtanzania kiasili ni mvivu sana na anapenda kufanya kitu kwa mazoea. Kujituma kwake ni vigumu sana. Ni mlalamishi na msemaji sana na anapenda sana kujiona yeye ndiyo ana akili kuliko wengine wote. Mtanzania ni bwenyenye na ndiyo maana tuna penda sana kufanyiwa kazi.
Si utakumbuka kwa mfano Air Tanzania. Tulikuwa na ndege moja tu kabla ya Magufuli hajawa Rais, lakini tulikuwa na wafankazi zaidi ya 200 ambao hawafanyi kitu bali kupokea mishahara ya bure kutoka serikalini. Mfano wa pili kwenye BOT kulikuwa na list ya viongozi na watoto wao ambao walikuwa wako katika pay list ya mishahara kama wafanya kazi lakini hawafanyi kazi yeyote ile, kazi yao ilikuwa kupokea mishahara ya bure. Aisee huo ni utamaduni mbaya sana ambao hathari zake ni kuteketea kwa taifa.
Sisi in general tuna tabia za kiarabu na kihindi, kwani kutwa kucha tunawaza kufanya biashara tu ya kununua na kuuza bidhaa na kutamani kuwa na mapesa mengi ili kuponda life. Katika matumizi ya pesa hapo tuko vizuri, lakini kwenye kuchuma pesa sio fani yetu.
Tofauti ya Lissu na mimi ni kwaba mimi ni mzalendo hasa. Pengine hata kumpita Magufuli, kwani kama ninge kuwa Rais wa Tanzania ningefanya vitu kama Cyprian Musiba anavyosema; nisingekuwa na huruma na wapinzani wanao pinga pinga maendeleo ya nchi yetu kama akina Lissu, Msigwa, Mbowe, Lema na Zitto. Na wale watumishi ambao ni ndumi la kuwili na wahujumu wa mali za umma ninge wafyekelea mbali na kuwaweka jela wote au kuwafukuza nchini. Ikiwezekana wasaliti wote kuwau kisiri siri.
Mtanisamehe watu wa namna hii sio binadam kama sisi. Ni wanyama wasio jali maisha ya binadam wenzao hata yale ya mama na baba zao kwa ajili ya uroho wa madaraka. Wewe utakuwa binadam wa aina gani ambaye una waomba wazungu wasitoe misaada kwenye serikali ya Magufuli ili wananchi wanao ishi humu wateketee. Hawa watu wazima kweli? Any way tuachane na hayo.
Mwisho ningetamani kupata nafasi ya kukuthibitishia uwezo wangu. Tuombeane uzima. Mungu akupe nguvu na baraka nyingi. Asante sana.