Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,467
- 1,697
Cha kwako pia.Kiwango chako cha ujinga ni grade A.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha kwako pia.Kiwango chako cha ujinga ni grade A.
Hii haina tofauti na kauli ya Kikwete alipolinganisha kukua kwa uchumi na ongezeko la magari barabarani...Mkuu, embu jaribu kutumia akili yako japo pengine hauna au ipo kidogo, hivi kweli watu kujaa fiesta ni indicator ya kupima kuimarika kwa uchumi au ubora wa maisha wa watu?
Kama hicho ndio kipimo cha hali uchumi kuwa nzuri basi kabla yake hali ilikuwaje maana kulipa kiingilio cha 10,000 na burudani mara moja kwa mwaka, vijana kama hawa kwa kweli ndio wametufikisha hapa tulipo maana wanafurahia maendeleo ambayo wanaambiwa na wanasiasa wakati yeye mwenyewe yupo palepaleMkuu namjibu huyu jamaa alotoa mfano wa kipuuzi kabisa wa matamasha ya kina diamond kutafsiri hali ya maisha ya watanzania.
Zinakutosha kweli wewe? Vijana kujaa kwenye matamasha ndio kiashiria cha uchumi? Hiyo 10,000.00 aliyoenda kutoa kwenye fiesta/tamasha unajua kaisotea siku ngapi???????????? Hao uliwaona wanashangilia kawatafute kama bado wana hizo shangwe.Jana kule Mtwara kumefanyika tamasha la wasafi ambalo limeacha historia kwa kufurika watu kwa kiasi ambacho haijapata kutokea watu kujaa namna ile kwenye uwanja wa Nangwanda.
Pia kule wilaya ya Kahama msanii Ali Kiba naye amefanya tamasha ambalo limeacha gumzo kwa kujaa watu.
Kitendo cha watu kujaa kwenye matamasha haya kimeenda kinyume kabisa na CHADEMA ambao wamekuwa wakieneza propaganda kuwa uchumi umeshuka na watu hawana pesa mfukoni.!!
Chadema ,hasa Tundu Lisu wamefikia hatua ya kuichafua nchi kimataifa kuwa eti Tanzania kwa sasa hali ni mbaya kiasi kwamba watu wanashindia mlo mmoja.!
Sasa tuwaulize nyie chadema ,hivi mtu ambaye anashindia mlo mmoja atatoa wapi hela ya kulipia tamasha na kushangilia mwanzo mwisho kama tulivyoona kule Mtwara na Kahama?
Ifike mahali mkubali tu kuwa kasi ya rais Magufuli ni kubwa kuliko uwezo wenu wa kufikiri.
CCM ya awamu ya nne sio CCM ya awamu ya tano. Makada walio kuwa wakiwavumilia makupe wengi wao hawapo au hawana say, sina haja ya kuwataja hapa nategemea unawajua.Maneno Meier hayo mambo mabaya yote uliyoyaorodhesha wakati yanafanyika ni chama gani kilikuwa madarakani kama si CCM? Na wakati huo Magufuli si alikuwepo kama Waziri, Mbunge na Mjumbe wa vikao vya CCM?
Huu utetezi wako unanirudisha kwenye kushangaa, hivi mna nini nyie watu!?
Mtwara hela ya mkupuo ya korosho, Kahama kama kawaida madini madini...hawa jamaa wanasoma ramani ya hela wapi ipo. Waambie wakafanye matamasha yao maeneo ya vijijini na miji midogomidogo kama watakubali, ilhali huko ndiko kuna idadi kubwa ya Watanzania.Jana kule Mtwara kumefanyika tamasha la wasafi ambalo limeacha historia kwa kufurika watu kwa kiasi ambacho haijapata kutokea watu kujaa namna ile kwenye uwanja wa Nangwanda.
Pia kule wilaya ya Kahama msanii Ali Kiba naye amefanya tamasha ambalo limeacha gumzo kwa kujaa watu.
Kitendo cha watu kujaa kwenye matamasha haya kimeenda kinyume kabisa na CHADEMA ambao wamekuwa wakieneza propaganda kuwa uchumi umeshuka na watu hawana pesa mfukoni.!!
Chadema ,hasa Tundu Lisu wamefikia hatua ya kuichafua nchi kimataifa kuwa eti Tanzania kwa sasa hali ni mbaya kiasi kwamba watu wanashindia mlo mmoja.!
Sasa tuwaulize nyie chadema ,hivi mtu ambaye anashindia mlo mmoja atatoa wapi hela ya kulipia tamasha na kushangilia mwanzo mwisho kama tulivyoona kule Mtwara na Kahama?
Ifike mahali mkubali tu kuwa kasi ya rais Magufuli ni kubwa kuliko uwezo wenu wa kufikiri.
Maisha Magumu watu wanafosi tu.Watu wamemvua cheni diamond huku naye anaonaJana kule Mtwara kumefanyika tamasha la wasafi ambalo limeacha historia kwa kufurika watu kwa kiasi ambacho haijapata kutokea watu kujaa namna ile kwenye uwanja wa Nangwanda.
Pia kule wilaya ya Kahama msanii Ali Kiba naye amefanya tamasha ambalo limeacha gumzo kwa kujaa watu.
Kitendo cha watu kujaa kwenye matamasha haya kimeenda kinyume kabisa na CHADEMA ambao wamekuwa wakieneza propaganda kuwa uchumi umeshuka na watu hawana pesa mfukoni.!!
Chadema ,hasa Tundu Lisu wamefikia hatua ya kuichafua nchi kimataifa kuwa eti Tanzania kwa sasa hali ni mbaya kiasi kwamba watu wanashindia mlo mmoja.!
Sasa tuwaulize nyie chadema ,hivi mtu ambaye anashindia mlo mmoja atatoa wapi hela ya kulipia tamasha na kushangilia mwanzo mwisho kama tulivyoona kule Mtwara na Kahama?
Ifike mahali mkubali tu kuwa kasi ya rais Magufuli ni kubwa kuliko uwezo wenu wa kufikiri.
We don't need the private sector that much. Private sector in Tanzania is Bull shit!Na chadema ndyo watakuwa wameandika hivView attachment 946007
Furaha ya binadam ni indication ya maisha yenye neema duniani kwote. Taifa ambalo halina na neema watu hawana furaha. Mfano Syria, Libya na Yemen.Sijui hizo takwimu umezitoa wapi mtu ambae alijaza ule uwanja mpaka watu wakashindwa kuingia ni Mr Nice
Kama Lissu anadai watanzania wanakula mlo mmoja tu kwa siku kwa kukosa pesa, sasa mtanzania atapata wapi TSH 10000/- kwa ajili ya kiingilio?Kama hicho ndio kipimo cha hali uchumi kuwa nzuri basi kabla yake hali ilikuwaje maana kulipa kiingilio cha 10,000 na burudani mara moja kwa mwaka, vijana kama hawa kwa kweli ndio wametufikisha hapa tulipo maana wanafurahia maendeleo ambayo wanaambiwa na wanasiasa wakati yeye mwenyewe yupo palepale
kama anavyosingiziwa shetani kwa dhambi za mwanaadam ndivyo ccm inavyoshutumiwa, kuna watu unaweza hata kupoteza fahamu kwa kutafakari namna wanavyofikiri.Sijui CCM hutumia mbinu gani kupandikiza ujinga na ubwege kwenye vichwa vya watanzania wenzetu!!
Halafu tukikuita kuku unasema tunakuonea? Hv umepishana nini na bata kifikra?Jana kule Mtwara kumefanyika tamasha la wasafi ambalo limeacha historia kwa kufurika watu kwa kiasi ambacho haijapata kutokea watu kujaa namna ile kwenye uwanja wa Nangwanda.
Pia kule wilaya ya Kahama msanii Ali Kiba naye amefanya tamasha ambalo limeacha gumzo kwa kujaa watu.
Kitendo cha watu kujaa kwenye matamasha haya kimeenda kinyume kabisa na CHADEMA ambao wamekuwa wakieneza propaganda kuwa uchumi umeshuka na watu hawana pesa mfukoni.!!
Chadema ,hasa Tundu Lisu wamefikia hatua ya kuichafua nchi kimataifa kuwa eti Tanzania kwa sasa hali ni mbaya kiasi kwamba watu wanashindia mlo mmoja.!
Sasa tuwaulize nyie chadema ,hivi mtu ambaye anashindia mlo mmoja atatoa wapi hela ya kulipia tamasha na kushangilia mwanzo mwisho kama tulivyoona kule Mtwara na Kahama?
Ifike mahali mkubali tu kuwa kasi ya rais Magufuli ni kubwa kuliko uwezo wenu wa kufikiri.
Daah mashemeji kazi tunayo tuna hussle halafu madogo wanaandika ujinga??Ndiyo maana waswahili husema zigo la Mwenzio ni furushi la Pamba. Kama kila kitu anafanya shemeji ugumu wa maisha atauona wapi!?
Kama Lissu anadai watanzania wanakula mlo mmoja tu kwa siku kwa kukosa pesa, sasa mtanzania atapata wapi TSH 10000/- kwa ajili ya kiingilio?
Mkuu hebu muanike Hapa tumjue ni Nani maana wajinga Kama vizur kuwaanika ili wajulikane
Wao wanapoona mitandaoni wakipinga pinga wanadhani mitaani pia iko hivyo. Wajaribu waone, watajiaibisha tu kama ilivyo kuwa Aprili 2018.Ukiwasikia wanavyotaharuki unaweza kudhani nchi ipo kwenye Vita kumbe nchi imetulia tuli full Aman.. kila siku nawaambia Kama Wana uwezo waandamane au waitishe maandamano Kama watapata support!?
Njia mpya ya kupima Economic Growth!Jana kule Mtwara kumefanyika tamasha la wasafi ambalo limeacha historia kwa kufurika watu kwa kiasi ambacho haijapata kutokea watu kujaa namna ile kwenye uwanja wa Nangwanda.
Pia kule wilaya ya Kahama msanii Ali Kiba naye amefanya tamasha ambalo limeacha gumzo kwa kujaa watu.
Kitendo cha watu kujaa kwenye matamasha haya kimeenda kinyume kabisa na CHADEMA ambao wamekuwa wakieneza propaganda kuwa uchumi umeshuka na watu hawana pesa mfukoni.!!
Chadema ,hasa Tundu Lisu wamefikia hatua ya kuichafua nchi kimataifa kuwa eti Tanzania kwa sasa hali ni mbaya kiasi kwamba watu wanashindia mlo mmoja.!
Sasa tuwaulize nyie chadema ,hivi mtu ambaye anashindia mlo mmoja atatoa wapi hela ya kulipia tamasha na kushangilia mwanzo mwisho kama tulivyoona kule Mtwara na Kahama?
Ifike mahali mkubali tu kuwa kasi ya rais Magufuli ni kubwa kuliko uwezo wenu wa kufikiri.