TAMASHA la XXL Dodoma lagubikwa na simanzi, umati wamyoshea mabango waziri!

TAMASHA la XXL Dodoma lagubikwa na simanzi, umati wamyoshea mabango waziri!

Badalaya kutekwa mijitu kama nyie msio kuwa na faida,ungekuwa mtihata kwa kivuli hufai,wanatekwa watu wa mhimu Mungu huyuuuu[emoji43][emoji43]
 
Only in Tz mchunga ng'ombe kupewa miliki, wacha waoneshe jinsi ng'ombe wanavyoswagwa huko maporini😀😀😀
 
Roma nyimbo zake nyingi zinaelezea maovu ya serikali ya CCM sasa nadhani wamemuwahi kabla hajaepua kitu.lakini wanachijidanganya ni kwamba kukamata watu ndio kama wanatuamsha sasa ili tupambane
Nawewe katunge wakwako cumaniokor
 
Back
Top Bottom