Tamasha la yanga 4 august 2024: tamasha lililokosa mvuto

Tamasha la yanga 4 august 2024: tamasha lililokosa mvuto

This is...

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
5,050
Reaction score
5,204
HAYA NDIO MAAAJABU 15 YA YANGA BONANZA TAREHE 4 AUG 2024

1.Kuuza tiketi mlangoni wakati sold out 🤣

2. Kuingiza watu Bure uwanjani baada ya kuona mpaka saa 9 uwanja umedoda/ hawajajaa

3. Kushindwa kumpa million 150 alizoomba Diamond platmuz ili apafomu stejin

4.Kusherehesha watu zaidi ya watano kazi ya mtu mmoja

5.Kutokuwa na mpangilio wa Matukio/ Ratiba. Tambulisha tambulisha isiyoeleweka.

6.Ratiba ya Mechi saa 2: 30 Mechi ikachezwa saa 3.30 aibu. Kupotezeana muda

7. Tukio la marehemu kukumbukwa kipindi Cha pili Cha mechi na kupewa zawadi😂😂nacheka kama mazuri

8. Konde boy kunong'onezwa muda umeisha wa kuimba na kuendelea / utaratibu mbovu na akakaidi😂

9. Kutambulisha wapenzi /kuvishana nguo,Pete. Mpaka azam wakaona aibu wakakata matangazo.

10.Kununua mechi Yako mwenyewe/Bonanza🤣🤣 Red ♦️

11.Kupewa penati na ukashangilia Bonanza lako🤣

12. Manara kutumia nguvu kubwa kuwaamisha yeye ni Yanga lialia,. Huku akijua ye Simba damu.

13. Kutokuwa na mvuto wa kutambulisha wachezaji Manara. Bora Alikamwe hakuwa na kipya ni yalwyale ya akiwa Simba.

14. Kutoonekana Kwa alikamwe ambaye ndiye boss wa Manara. Na kuonekana wakodishwaji.

15. Kugombania mic 🎤 wasanii. Marioo.😭

Nawewe orodhesha ili wabadilike siku nyingine.

Mwandishi wa hili andiko: Mzarendo Kahera
 
Screenshot_20240805-142246_Instagram.jpg
 
Mvuto ukiwa nao wewe na mama yako inatosha.
Usitulazimishe wote tuamini kwenye ujinga wako.
*Classic Djs,, Mammie & Ally B
*Classic sounds plus hypers,, Dacota de Lavida & Shifta
*Muitikio wa wananchi,,, Mkapa & Uhuru
*Star five MCs,,, Kitenge & Zembwela
*Top Guest of honor,,, VP Mpango

#USILAZIMISHE MK*ND* KULA MUWA BRO
 
HAYA NDIO MAAAJABU 15 YA YANGA BONANZA TAREHE 4 AUG 2024

1.Kuuza tiketi mlangoni wakati sold out 🤣

2. Kuingiza watu Bure uwanjani baada ya kuona mpaka saa 9 uwanja umedoda/ hawajajaa

3. Kushindwa kumpa million 150 alizoomba Diamond platmuz ili apafomu stejin

4.Kusherehesha watu zaidi ya watano kazi ya mtu mmoja

5.Kutokuwa na mpangilio wa Matukio/ Ratiba. Tambulisha tambulisha isiyoeleweka.

6.Ratiba ya Mechi saa 2: 30 Mechi ikachezwa saa 3.30 aibu. Kupotezeana muda

7. Tukio la marehemu kukumbukwa kipindi Cha pili Cha mechi na kupewa zawadi😂😂nacheka kama mazuri

8. Konde boy kunong'onezwa muda umeisha wa kuimba na kuendelea / utaratibu mbovu na akakaidi😂

9. Kutambulisha wapenzi /kuvishana nguo,Pete. Mpaka azam wakaona aibu wakakata matangazo.

10.Kununua mechi Yako mwenyewe/Bonanza🤣🤣 Red ♦️

11.Kupewa penati na ukashangilia Bonanza lako🤣

12. Manara kutumia nguvu kubwa kuwaamisha yeye ni Yanga lialia,. Huku akijua ye Simba damu.

13. Kutokuwa na mvuto wa kutambulisha wachezaji Manara. Bora Alikamwe hakuwa na kipya ni yalwyale ya akiwa Simba.

14. Kutoonekana Kwa alikamwe ambaye ndiye boss wa Manara. Na kuonekana wakodishwaji.

15. Kugombania mic 🎤 wasanii. Marioo.😭

Nawewe orodhesha ili wabadilike siku nyingine.

Mwandishi wa hili andiko: Mzarendo Kahera
Wanaweza kula vya bure tuu lakini vilivyofanyiwa featuring ya makafara😂
FB_IMG_1722859207627.jpg
FB_IMG_1722859207627.jpg
 
Kumbe ulifatilia tukio la usiyempenda?
 

Attachments

  • IMG_1771.jpeg
    IMG_1771.jpeg
    164.5 KB · Views: 3
Mkoo busy kuongelea matukio ya Yanga Day ila baada ya tarehe nane mtaanza kuongelea matukio yenu. Huku mkikumbushia bil 20 na kuanza kuyatafuta maduka.
 
HAYA NDIO MAAAJABU 15 YA YANGA BONANZA TAREHE 4 AUG 2024

1.Kuuza tiketi mlangoni wakati sold out 🤣

2. Kuingiza watu Bure uwanjani baada ya kuona mpaka saa 9 uwanja umedoda/ hawajajaa

3. Kushindwa kumpa million 150 alizoomba Diamond platmuz ili apafomu stejin

4.Kusherehesha watu zaidi ya watano kazi ya mtu mmoja

5.Kutokuwa na mpangilio wa Matukio/ Ratiba. Tambulisha tambulisha isiyoeleweka.

6.Ratiba ya Mechi saa 2: 30 Mechi ikachezwa saa 3.30 aibu. Kupotezeana muda

7. Tukio la marehemu kukumbukwa kipindi Cha pili Cha mechi na kupewa zawadi😂😂nacheka kama mazuri

8. Konde boy kunong'onezwa muda umeisha wa kuimba na kuendelea / utaratibu mbovu na akakaidi😂

9. Kutambulisha wapenzi /kuvishana nguo,Pete. Mpaka azam wakaona aibu wakakata matangazo.

10.Kununua mechi Yako mwenyewe/Bonanza🤣🤣 Red ♦️

11.Kupewa penati na ukashangilia Bonanza lako🤣

12. Manara kutumia nguvu kubwa kuwaamisha yeye ni Yanga lialia,. Huku akijua ye Simba damu.

13. Kutokuwa na mvuto wa kutambulisha wachezaji Manara. Bora Alikamwe hakuwa na kipya ni yalwyale ya akiwa Simba.

14. Kutoonekana Kwa alikamwe ambaye ndiye boss wa Manara. Na kuonekana wakodishwaji.

15. Kugombania mic 🎤 wasanii. Marioo.😭

Nawewe orodhesha ili wabadilike siku nyingine.

Mwandishi wa hili andiko: Mzarendo Kahera
Wivu unawatesa makolo
 
Back
Top Bottom