Tambi na lost ya samaki

Tambi na lost ya samaki

Hello
Leo nilitembelewa na mshikaji wangu alikuwa amefunga suni akasema leo nimefunga nakuja uko kukupa hi bas nikajiongeza nimuamdalie futari

Nikaanza kupika tambi napenda za rangi mbili so nikaanza kwanza kuziunguza kwanza kama hivi
View attachment 3254902
Baada ya hpo nikazigeuza kuona kama zimekaa vizuri
View attachment 3254903
Baada ya hpo nikaweka maji kama wewe una tui la nazi ile ya kukuna unaweza tumia iyo badala ya maji nikaweka na sukari na chumvi kama una irick unaweza weka mm sikuwa nay
View attachment 3254905
Baada ya hapo nianza kukaanga samaki zangu hapa uku nasubiri maji yakauke niweke nazi
View attachment 3254922
Baada ya hapo nikatoa samaki

Nikaanza kupika lost
Niliwwka kitunguu
View attachment 3257577
Baada ya hapo nikaweka samaki hoho na karot
View attachment 3257578
Baada ya kuchanganyika vizur nukaweka nyanya
View attachment 3257579
Nikaweka na nazi nika pika na catress nishawai kuleta hapa jinsi ya kuzipika
View attachment 3257581
Alfu...?
 
Hello
Leo nilitembelewa na mshikaji wangu alikuwa amefunga suni akasema leo nimefunga nakuja uko kukupa hi bas nikajiongeza nimuamdalie futari

Nikaanza kupika tambi napenda za rangi mbili so nikaanza kwanza kuziunguza kwanza kama hivi
View attachment 3254902
Baada ya hpo nikazigeuza kuona kama zimekaa vizuri
View attachment 3254903
Baada ya hpo nikaweka maji kama wewe una tui la nazi ile ya kukuna unaweza tumia iyo badala ya maji nikaweka na sukari na chumvi kama una irick unaweza weka mm sikuwa nay
View attachment 3254905
Baada ya hapo nianza kukaanga samaki zangu hapa uku nasubiri maji yakauke niweke nazi
View attachment 3254922
Baada ya hapo nikatoa samaki

Nikaanza kupika lost
Niliwwka kitunguu
View attachment 3257577
Baada ya hapo nikaweka samaki hoho na karot
View attachment 3257578
Baada ya kuchanganyika vizur nukaweka nyanya
View attachment 3257579
Nikaweka na nazi nika pika na catress nishawai kuleta hapa jinsi ya kuzipika
View attachment 3257581
Sio lost ni rost
 
Hello
Leo nilitembelewa na mshikaji wangu alikuwa amefunga suni akasema leo nimefunga nakuja uko kukupa hi bas nikajiongeza nimuamdalie futari

Nikaanza kupika tambi napenda za rangi mbili so nikaanza kwanza kuziunguza kwanza kama hivi
View attachment 3254902
Baada ya hpo nikazigeuza kuona kama zimekaa vizuri
View attachment 3254903
Baada ya hpo nikaweka maji kama wewe una tui la nazi ile ya kukuna unaweza tumia iyo badala ya maji nikaweka na sukari na chumvi kama una irick unaweza weka mm sikuwa nay
View attachment 3254905
Baada ya hapo nianza kukaanga samaki zangu hapa uku nasubiri maji yakauke niweke nazi
View attachment 3254922
Baada ya hapo nikatoa samaki

Nikaanza kupika lost
Niliwwka kitunguu
View attachment 3257577
Baada ya hapo nikaweka samaki hoho na karot
View attachment 3257578
Baada ya kuchanganyika vizur nukaweka nyanya
View attachment 3257579
Nikaweka na nazi nika pika na catress nishawai kuleta hapa jinsi ya kuzipika
View attachment 3257581
Huyo ni Santa Lucia au Mo 😜
 
wanaokukashifu njaa zinawasumbua wapunguze wivu na makasiriko, waendelee na Ibada!

Ramadhani Kareem
 
Back
Top Bottom