Hana akili ya kukuelewa huyuKwa hiyo Ukraine ni USA na Russia ni Afghanistan ? Dhambi ni dhambi tu akifanya yeyote yule, uovu utabaki kuw uwovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana akili ya kukuelewa huyuKwa hiyo Ukraine ni USA na Russia ni Afghanistan ? Dhambi ni dhambi tu akifanya yeyote yule, uovu utabaki kuw uwovu
kaa kimyaa...Kwa hiyo Ukraine ni USA na Russia ni Afghanistan ? Dhambi ni dhambi tu akifanya yeyote yule, uovu utabaki kuw uwovu
ishiiii kwani hicho kikundi chenu cha vikoba kimeanza kuchangishana leo vi hela vyenu vya madafu .....au wewe ni mgeni toka hii oparesheni kata funua ianze leo ndio umeona wana changishana ..........nyie changeni ola vikija kwenye ground vitakula kiberiti ....Kupiga picha kwenye maghofu yaliyolipuliwa ndio bakhmut imetekwa.
Subiri wadau wanawapangia bajet zaidi huko Hiroshima
Msiharakishe kwa kujipa moyo eti muonekane washindi wkt mambo ni tofauti huko battle ground.
Myachakaa tu .
Kwan wanampa silaha apige nje ya nchi yake ? Kwann usimlaumu aliyeingia kweny nchi ya mwenzie ? Au hana akili so haez elewa sababu ya uendawazimu aliokuwa nao?Kwa nin wale wengine badala ya kuchagiza mazungumzo ili kumaliza mzozo lkn wao wanapeleka silaha ili mzozo uendelee kuwa mkubwa
Umri unahusikaje hapo ? Hv unaitaj umri kuelewa hayo maujinga ya Putin na nyiny ndo wazee wanaotegemewa kulea kizazi cha kesho ? NyambafffUna umri gani?
.Umri unahusikaje hapo ? Hv unaitaj umri kuelewa hayo maujinga ya Putin na nyiny ndo wazee wanaotegemewa kulea kizazi cha kesho ? Nyambafff