ishiiii kwani hicho kikundi chenu cha vikoba kimeanza kuchangishana leo vi hela vyenu vya madafu .....au wewe ni mgeni toka hii oparesheni kata funua ianze leo ndio umeona wana changishana ..........nyie changeni ola vikija kwenye ground vitakula kiberiti ....
Kwan wanampa silaha apige nje ya nchi yake ? Kwann usimlaumu aliyeingia kweny nchi ya mwenzie ? Au hana akili so haez elewa sababu ya uendawazimu aliokuwa nao?