Tambo za G7 huko hiroshima zaingia doa: Bakhmut yatekwa rasmi, Wizara ya ulinzi ya Urusi yathibitisha

Kupiga picha kwenye maghofu yaliyolipuliwa ndio bakhmut imetekwa.

Subiri wadau wanawapangia bajet zaidi huko Hiroshima

Msiharakishe kwa kujipa moyo eti muonekane washindi wkt mambo ni tofauti huko battle ground.

Myachakaa tu .
ishiiii kwani hicho kikundi chenu cha vikoba kimeanza kuchangishana leo vi hela vyenu vya madafu .....au wewe ni mgeni toka hii oparesheni kata funua ianze leo ndio umeona wana changishana ..........nyie changeni ola vikija kwenye ground vitakula kiberiti ....
 
Kwa nin wale wengine badala ya kuchagiza mazungumzo ili kumaliza mzozo lkn wao wanapeleka silaha ili mzozo uendelee kuwa mkubwa
Kwan wanampa silaha apige nje ya nchi yake ? Kwann usimlaumu aliyeingia kweny nchi ya mwenzie ? Au hana akili so haez elewa sababu ya uendawazimu aliokuwa nao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…