TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,095
Hii ilikuwa kabla hajadakwa na mzigo alipost hivi kwenye mtandao
Picha aliyoipost Agnes Masogange katika mtandao wa Instagram kabla yeye na mwenzake hawajakamatwa na shehena ya madawa ya kulevya yenye thamani ya Tshs. bilioni 7 katika uwanja wa ndege wa OR Tambo jijini Johanesburg nchini Afrika Kusini mwanzoni mwa wiki hii.
Bora angekuwa anauza Kabang kwa milioni moja moja angepata wateja wengi sana
Picha aliyoipost Agnes Masogange katika mtandao wa Instagram kabla yeye na mwenzake hawajakamatwa na shehena ya madawa ya kulevya yenye thamani ya Tshs. bilioni 7 katika uwanja wa ndege wa OR Tambo jijini Johanesburg nchini Afrika Kusini mwanzoni mwa wiki hii.
Bora angekuwa anauza Kabang kwa milioni moja moja angepata wateja wengi sana
