kama njia aliokuwa anatumia ndo the way for looking
for money I think I will be poor forever!!!!!
ndio wakome wadada wa kibongo
kupenda mambo makubwa makubwa sio hao
wapo wengi tuu.muwe makini tu!!!!!!!!!!!!
Hii ilikuwa kabla hajadakwa na mzigo alipost hivi kwenye mtandao
Picha aliyoipost Agnes Masogange katika mtandao wa Instagram kabla yeye na mwenzake hawajakamatwa na shehena ya madawa ya kulevya yenye thamani ya Tshs. bilioni 7 katika uwanja wa ndege wa OR Tambo jijini Johanesburg nchini Afrika Kusini mwanzoni mwa wiki hii.
Bora angekuwa anauza Kabang kwa milioni moja moja angepata wateja wengi sana
Yaaaani full kuturusha roho...ma lexus...mavogue...less wig za lk 5...shopping za maaana kumbe...majangiri...mshahara unanitosha hyo ya kujishow matokeo ndo hayo
Yaaaani full kuturusha roho...ma lexus...mavogue...less wig za lk 5...shopping za maaana kumbe...majangiri...mshahara unanitosha hyo ya kujishow matokeo ndo hayo
I have fallen in love with her,anajua kutafuta fedha iliyompata ni bahati mbaya tu(get rich or die tryin),kuna mnaomsema vibaya wakati dada zenu wanagawa tu tigo kabang kwa mateja na vibaka wa mtaani kwenu!!No bodys perfect
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
hizo mbwembwe zake akazionyeshee gerezani sasa!!!!
kila akipiga picha ni kuonesha makalio.
Tatizo sio bidii ya kutafuta hiyo pesa, bali ni njia gani unatumia kuitafuta hiyo pesa.
Kutajirika kwa kuwageuza wengine mateja, au kukata mikona ya albino, au kujilimbikizia mali ya uma, sidhani kama ni bidii ya kutafuta inayohitaji kupongezwa.
Yah, true lakini unapopiga deal kafiri hutakiwi kuwa na makuzi; piga deal, vuta mkwanja, uki-retire ndo unaanza nyodo vinginevyo watu watukudondoshea jumba bovu tu!Yeah_get rich...or...die trying.
Anajua kutafuta au anajua kutumiwa? Siku nikiamua kuwa Drug Dealer ni labda mimi nitume wenzangu lakini sio mtu kunituma mimi, siwezi kuwa tayari siku jumba bovu linadondoka; nadondoka nalo mzima mzima hata jamaa hakujui!I have fallen in love with her,anajua kutafuta fedha iliyompata ni bahati mbaya tu(get rich or die tryin),kuna mnaomsema vibaya wakati dada zenu wanagawa tu tigo kabang kwa mateja na vibaka wa mtaani kwenu!!No bodys perfect
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
hizo mbwembwe zake akazionyeshee gerezani sasa!!!!
kila akipiga picha ni kuonesha makalio.
ndo mademu wa kibongo...kumeki money ni kuuza unga...------- kweli
Yaaaani full kuturusha roho...ma lexus...mavogue...less wig za lk 5...shopping za maaana kumbe...majangiri...mshahara unanitosha hyo ya kujishow matokeo ndo hayo