Tambo zimesababisha Masogange kudakwa na madawa?

Yah, true lakini unapopiga deal kafiri hutakiwi kuwa na makuzi; piga deal, vuta mkwanja, uki-retire ndo unaanza nyodo vinginevyo watu watukudondoshea jumba bovu tu!
Hilo nalo neno!!
 
If she sells that beautiful as* in auction she wont make as much money. Bora auze unga tu.

Huyu dada ana elimu gani kwani?
....unaweza kuta kasoma....lakini anazungukwa na cycle ya watu wajinga....
 

U cant justify evils let them bitches rot in jail for trying 2 get rich!
 

nimeipenda sana hii,big up
 
Nyodo nyingi dili kafiri,,.....pole mwaya so imekua virse versa,,.....S:A swagga,,.... (TOUGHT TO GET EASY TO DIE) ,,....iwe somo kwa wengne,,....!!
 
Muuza unga msafirishaji au Mtu yoyote Yule anaejishughulisha na unga Hana tofauti na anae ua maalbino!! Ukiangalia vijana wanavoharibika kwa madawa for real Tanzania tunahaja ya kubadili Sheria zetu hawa watu wanatakiwa kunyongwa. Serikali iwe na mahakama maalumu kwa ajili ya kesi hizo! Miezi mitatu baada ya kupatikana na madawa iwe kesi imeisha na kanyongwa!!
 
uyu agness alikuwa sauz na linah(muimbaji) im pretty sure nae anahusika na hizi dili.........nae cku zake zinahesabika
 

I think irresponsible use of social media, has led to her demise. Especially when you use one or more of your real names and a really photo.
 

I lost my young brother! Very true MATOLA
 
Warembo wa mjin wanatoa sn kabang na mwisho wa cku wanakosa wateja so wanaamua kujiingiza ktk madawa ya kulevywa il kupata mkwanja wa kujikim, jst lyk ha inapnekana soko limeshuka tht's y kaamua kujiengage huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…