Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namjua mmoja niliwahi kutananaye maeneo ya Mumbai[emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa namna hii nimejipima inakuwaje hadi sijui kitu kidogo kama hichi je makubwa nitayajua lini..Kwa nini Mkuu
Mkuu kwa namna hii nimejipima inakuwaje hadi sijui kitu kidogo kama hichi je makubwa nitayajua lini..
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Huko corona imefika ama bado?Lakini pia kwa kufanya hivi wanaamini huwafanya wawe karibu zaidi na mungu wao Shiva, na wanaweza kupata ulinzi na kinga katika magonjwa mbalimbali.
Mkuu lazima ulikimbiaNamjua mmoja niliwahi kutananaye maeneo ya Mumbai[emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app