TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 993
- 1,286
Nimeona mara kadhaa watu wakijiona wapo salama kufanya ngono bila kinga kwa sababu tu wamepima na matokeo kuonyesha negative. Hiyo sio sawa, kwa sababu vipimo vya juu kabisa kwa ujumla vita-detect HIV angalau week 4 baada ya maambukizi.
Vipimo vitaonyesha matokeo sahihi kwa watu walio wengi kuanzia wiki ya 4 mpaka ya 12, wengine itachukua mwaka mzima na hata miaka 2, Kipindi cha tangu mtu kufanya kitendo kinachomweka katika hatari ya kuambukizwa HIV mpaka pale atakapopata majibu sahihi ya afya yake huitwa window period.
Wakati huo wote, ikiwa mtu ana virusi naye huambukiza lakini vipimo haviwezi kuonyesha.
Mbaya zaidi, matokeo ya research ya hivi karibuni yanaonyesha kuwa mtu aliyeambukizwa karibuni ana uwezo wa kuambukiza zaidi kuliko mgonjwa wa siku nyingi.
Vipimo vitaonyesha matokeo sahihi kwa watu walio wengi kuanzia wiki ya 4 mpaka ya 12, wengine itachukua mwaka mzima na hata miaka 2, Kipindi cha tangu mtu kufanya kitendo kinachomweka katika hatari ya kuambukizwa HIV mpaka pale atakapopata majibu sahihi ya afya yake huitwa window period.
Wakati huo wote, ikiwa mtu ana virusi naye huambukiza lakini vipimo haviwezi kuonyesha.
Mbaya zaidi, matokeo ya research ya hivi karibuni yanaonyesha kuwa mtu aliyeambukizwa karibuni ana uwezo wa kuambukiza zaidi kuliko mgonjwa wa siku nyingi.