ayaaaaaaaa! weweSio zama hz aisee, unamkubali mwanaume hana kitu, unamsaport kwa kila hali, hela za nauli za kwenda kwny interview unamtafutia hata kwa kukopa, unamsaidia kutafuta matangazo ya kazi, kuaply, kusaka vibarua huku na huku, lkn akishainuka na kupata ajira na hela basi wewe unaonekana screpa!!! Anaanza kushoboka na wavaa mawigi wanaojua kujichubua na kutumia hela wasizozitafuta!!!! Mwisho wa siku anakubwaga kweupe na kashfa juu ati wewe sio hadhi yangu...wasengerema kweli hawa viumbe.
Umemaliza mkuuTumestuka, tukiwapenda mkiwa hamna kitu mkipata mnatudharau na kwenda kutafuta mnaoona wanawafaa. Hivyo basi mtafute kwanza mkizipata ndio muoe. Adamu alikuwa na kila kitu ndio Eva akafuata.
Hivi mwanaume huna kazi hata hamu ya tendo inatoka wapi!!! Achilia mbali kuoa. Huu utakuwa ni uzembe wa hali ya juu. Watafute kwanza ndio waoe.wakati muhafak a kwa mwanaume ni anapopata mafanikio..tusidanganyane hapa hata Simba akikosa nyama hula majani.
Upo kwenye kundi gani upo kwenye msoto au tajiri?!ujumbe wako Umekuja wakati Mhafaka kwa Upande wangu..Nashidwa Nichague Mwanamke wa Namna Gani kwa wakati Nilio nao?Naomba wadau wenye Mchango zaidi wa changie zaidi Hapa.Tafadhari
Ngoja Nami Nijitahidi Ni WawahiUmenena kweli.. Japo kupata binti wa kukupenda na umasikini wako wanazidi kupungua kadri siku zinavyokwenda
Kweli kabisa,ni vile basi tu kunakuwa hamna namna, ila namna ikiwepo ndio basi tena.Mwanamke anaweza akakupenda ukiwa hauna kitu ikiwa yeye hajapendwa au hajapata wenye kitu..hamna binaadamu anayependa vitu vibaya
nashangaa ..wazisake tu.Hivi mwanaume huna kazi hata hamu ya tendo inatoka wapi!!! Huu utakuwa ni uzembe wa hali ya juu. Watafute kwanza ndio waoe.
hahaha kila la heri bossNgoja Nami Nijitahidi Ni Wawahi
..msioeKwa amabao tayari tuna maisha mazuri tufanyeje?
Chagua asie na kaziujumbe wako Umekuja wakati Mhafaka kwa Upande wangu..Nashidwa Nichague Mwanamke wa Namna Gani kwa wakati Nilio nao?Naomba wadau wenye Mchango zaidi wa changie zaidi Hapa.Tafadhari
Daah polee saanaNdio na alipokuja kupata kazi, mshahara mzuri akaniona sifai,
Hapo umesema kweli,huwezi kua na mtu kwa sababu tu kakukubali ukiwa huna kitu na kiuhalisia humpendi unakuta unachoice nyingine kabisaKiukweli mwanamke anaekupenda na kukuthamini ukiwa huna kitu hasa ktk hii hali ya vyuma kukaza nindio chaguo bora tatizo linakuja wewe unamuona kimuonekano hakuvutii sasa hapo ndo unapofeli.
Wewe hupendi vilivyonona? Anyway sikupanga kuchangia wewe umenifanya kuchangai kipindi nikiwa sina kitu kuna wadada walionivutia Sana kila mmoja Kwa kipindi chake nilifanikiwa kuwa nao wakinisapoti Kwa kila kitu lakini ghafla nilipoa anza kupata neema ya kuwa na vijisenti mfukoni wakinipiga chini wote nakila kinipiga nao story nikijalibu kuwauliza ni kitu gani kulichofanya mpaka wakanipotezea hawana majibu nikauliza ushawai kuniona na mwanamke mwingine, au kuna baya lolote nililokufanyia,nimekuzarau,nimshindwa kukutimizia kitu ulichotaka,nimepunguza muda wakuonana na wewe au kuna baya lolote nimekufayia jibu ni hapana kiukweli nimeahindwa kujua nini wanawake mnataka.Wapo lakini wengi wao ni polygon kwa hali ya sasa watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji na ukizifuma yule aliyekuvumilia utamuona km Mzee na jinsi mlivyo wanaume ukiwa vizuri kiuchumi basi hata kula utataka ule vilivyonona ni hayo tu
Wakati mkipat mnawasahau wale mlioanz nao shidani[emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21]Kiukweli mwanamke anaekupenda na kukuthamini ukiwa huna kitu hasa ktk hii hali ya vyuma kukaza nindio chaguo bora tatizo linakuja wewe unamuona kimuonekano hakuvutii sasa hapo ndo unapofeli.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Tumestuka, tukiwapenda mkiwa hamna kitu mkipata mnatudharau na kwenda kutafuta mnaoona wanawafaa. Hivyo basi mtafute kwanza mkizipata ndio muoe. Adamu alikuwa na kila kitu ndio Eva akafuata.