Tambua wakati mzuri wa kutafuta mwanamke wa maisha!

Well said
 
Wanaume wachache sana ambao wanaweza fikiria hyo...lkn wanawake ni wengi sana wanaowageukia waume zao......unakuta mtu mpaka anapata bahat ya kusomeshwa na mpenzi au mume wake lkn akifanikiwa anatafuta wasomi wenzake hukohuko......Dah.....! Dunia inakwisha sasa,
 
Duh! Pole sana ila huyo manzi hana msimamo, utakubalije kumuacha uliyempenda na kuhangaika nae kutengeneza future yenu kwa ajili ya mchumba uliyetafutiwa na familia?? Nahisi alipatwa na tamaa tu ndo maana kakuacha


Tamaa na kutokuwa na masimamo. Bila shaka alikuwa anapanga gia za kunirudia, ila kwa kweli nilimkinai, bora ingekuwa kosa lingine ningemsamehe, ila kwa hilo nooo
 
Ule upendo wa kujionja toka moyoni kusema hata tutafakari mema tuliyotendewa na wenza wetu ili tuzd kuona thamani yao haupo tena....umebaki upendo wa kupelekana beach,bar,na kuletewa maua.....
 
Kweli mke mwema. Anatoka. Kwa. Mungu!
 
Inasikitisha. Sana binadamu wamekosa. Aibu,huruma,upendo na hofu ya mungu.
 
Hahha iv usawa huu Hawa Dada zetu wanapenda MTU mwenye shida ? Na ww jiulize kwanza I'll swali ila jawabu langu mie sizan kama watakubali
 
Hahha iv usawa huu Hawa Dada zetu wanapenda MTU mwenye shida ? Na ww jiulize kwanza I'll swali ila jawabu langu mie sizan kama watakubali
Wapo lakini wachache. Sana!
 
Ule upendo wa kujionja toka moyoni kusema hata tutafakari mema tuliyotendewa na wenza wetu ili tuzd kuona thamani yao haupo tena....umebaki upendo wa kupelekana beach,bar,na kuletewa maua.....
Uko sahihi mkuu
 
huwezi vumiliwa hivihiv katika kipindi hiki, ujue kuna matarajio yamekoswa hivyo unakuja kugandwa ww maana unakuwa ndo kimbilio,
hapa pana pande mbili...
 
huwezi vumiliwa hivihiv katika kipindi hiki, ujue kuna matarajio yamekoswa hivyo unakuja kugandwa ww maana unakuwa ndo kimbilio,
hapa pana pande mbili...
Hebu funguka vizuri hizo. Pande. Mbili.
 
NI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…