Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Out of topic mkuu..chek pm ykoTatizo sisi wanaume tukimpata mwanamke anaetukubali kipindi hatuna kitu, tukifanikiwa huwa hatuwathamini tena, tunatafuta wengine tofauti na hawa tuliokua nao
Sio zama hz aisee, unamkubali mwanaume hana kitu, unamsaport kwa kila hali, hela za nauli za kwenda kwny interview unamtafutia hata kwa kukopa, unamsaidia kutafuta matangazo ya kazi, kuaply, kusaka vibarua huku na huku, lkn akishainuka na kupata ajira na hela basi wewe unaonekana screpa!!! Anaanza kushoboka na wavaa mawigi wanaojua kujichubua na kutumia hela wasizozitafuta!!!! Mwisho wa siku anakubwaga kweupe na kashfa juu ati wewe sio hadhi yangu...wasengerema kweli hawa viumbe.
Hahaha....hivi kumbe kuna wanaume wanafanyiwa yote hayo....Sio zama hz aisee, unamkubali mwanaume hana kitu, unamsaport kwa kila hali, hela za nauli za kwenda kwny interview unamtafutia hata kwa kukopa, unamsaidia kutafuta matangazo ya kazi, kuaply, kusaka vibarua huku na huku, lkn akishainuka na kupata ajira na hela basi wewe unaonekana screpa!!! Anaanza kushoboka na wavaa mawigi wanaojua kujichubua na kutumia hela wasizozitafuta!!!! Mwisho wa siku anakubwaga kweupe na kashfa juu ati wewe sio hadhi yangu...wasengerema kweli hawa viumbe.
Nilikua sijui na sikufikiria kuna movement ya hivyo kimyakimya....sijawahi sikia mwanaume akisema anafanyiwa hivyo....hahaUlikuwa. Hujui?
Hili mimi nalipinga wanaume tumekuwa tunawakumbuka sana wanawake tuliosota nao ukitaka uthibitisho zaidi fatilia wake wengi wa wanaume waliofanikiwa ni wakawida na wabaya ndo mama wa nyumbaNtakuvumilia wakati wa shida ....tutasota hatimae utafanikiwa.....ukifanikiwa unaanza kuniona mi si lolote si chochote ...unaanza kuniona nimefanana na mbuzi unaanza kuhangaika na wanawake wengine ....my dear brother pambana usake mahela tukutane juu kwa juu hakuna MTU anapenda stress za baadae
Naunga mkono hoja yakoSio zama hz aisee, unamkubali mwanaume hana kitu, unamsaport kwa kila hali, hela za nauli za kwenda kwny interview unamtafutia hata kwa kukopa, unamsaidia kutafuta matangazo ya kazi, kuaply, kusaka vibarua huku na huku, lkn akishainuka na kupata ajira na hela basi wewe unaonekana screpa!!! Anaanza kushoboka na wavaa mawigi wanaojua kujichubua na kutumia hela wasizozitafuta!!!! Mwisho wa siku anakubwaga kweupe na kashfa juu ati wewe sio hadhi yangu...wasengerema kweli hawa viumbe.
Siyo lazima yeye afanye hivyo, ila wapo wadada wamewapambania wadau na hali zao ngumu ila at the end wamerun a way mazimaNaanza na wewe kuna Mwanaume Ulishawahi Kumuhangaikia Hivo?
Kweli kabisa.
Duh! Pole sana ila huyo manzi hana msimamo, utakubalije kumuacha uliyempenda na kuhangaika nae kutengeneza future yenu kwa ajili ya mchumba uliyetafutiwa na familia?? Nahisi alipatwa na tamaa tu ndo maana kakuachaPole sana! Mimi kuna mwanadada alinifanyia hayo yote kama ulivyoeleza yaani kopirait, ila mwaka juzi, nikashangaa ameanza kubadilika zile baby baby na meseji za mahaba hana tena. Nikambananisha kwa maswali baadaye akanieleza ukweli, kwamba familia yake imemchagulia mchumba, kiukweli niliumia sana na kukata tamaa maana nilimpenda sana. Nikamwambia haina shida! Nikafuta namba na kufuta urafiki mitandaoni ili nisimuone. Mwaka huu kanitafuta fb, ananiambia mbona kimya? Nikamwambia wewe si uliniacha sasa vipi ulitaka nifanyeje? Akaniambia amemaliza chuo mwaka jana na ajira kakosa, sasa ameanzisha project ya uhamasishaji so anaomba mchango kama elfu 50 halafu tushirikiane. Nikamuuliza vipi umeshaolewa na yule mchumba, akadai waliachana maana kalazimishiwa, so kwa sasa hataki mapenz tena bali kazi, nikamwambia mimi ninaona tusiwasilane tena maana uliniumiza sana, kaa mbali tu na mimi.
Uko juu kwa juu nitakuwa nshakutana na wengine. ..[emoji1] [emoji12] [emoji12]Ntakuvumilia wakati wa shida ....tutasota hatimae utafanikiwa.....ukifanikiwa unaanza kuniona mi si lolote si chochote ...unaanza kuniona nimefanana na mbuzi unaanza kuhangaika na wanawake wengine ....my dear brother pambana usake mahela tukutane juu kwa juu hakuna MTU anapenda stress za baadae
tatizo lenu hamjipendi mkishazaa tuu mnajiachia kila mnanuka maziwa,mikojo ya watoto nk, alafu mnapunguza mapenzi kwetu mnahamishia Kwa mtoto na sisi inakuwa ni wakati wetu kutafuta faraja.jipendeni bhanaa tupenda wanawake wasafi acheni mambo ya kisengerema basi.Sio zama hz aisee, unamkubali mwanaume hana kitu, unamsaport kwa kila hali, hela za nauli za kwenda kwny interview unamtafutia hata kwa kukopa, unamsaidia kutafuta matangazo ya kazi, kuaply, kusaka vibarua huku na huku, lkn akishainuka na kupata ajira na hela basi wewe unaonekana screpa!!! Anaanza kushoboka na wavaa mawigi wanaojua kujichubua na kutumia hela wasizozitafuta!!!! Mwisho wa siku anakubwaga kweupe na kashfa juu ati wewe sio hadhi yangu...wasengerema kweli hawa viumbe.