Keep it up!!! Keep it up Linyunyu "Kisu kikali". Kata mkuu siogope. Sasa hivi anajipendekeza anajua 2010 is around the corner. Ni mnafiki mkubwa sana huyo. Tena asicheze tukamlipua na akatemwa na hiyo CCM tena kijumla kabisa. Tambwe kama unanisikia wewe ni kibaraka mkubwa sana wa CCM kwa vyama vya upinzani na pia siri za namna CCM mnavyojidai kuwa mnashughulikia mafisadi kumbe ni viini macho Tambwe wenu anahongwa bia anatoa hadharani. Yaani jamaa ni njaa ile mbaya, nafikiri hata buku anapokea tu. Usione kitambi hilo limejaa minyama na bia tu. Unataka nitaje hata vijiwe vyako wewe fisadi wa Chama???
Kwa taarifa Mwanakijiji hagusiki. Ni mzalendo anaipenda nchi yake ndiyo maana anasema hadharani na haogopi. Kwani kuna uongo gani ndani ya makala za Mwanakijiji??? Vyote ni ukweli mtupu na sisi tunaoelewa tunamuunga mkono. Na bado ataendelea kuwalipua kama ule mgodi wa Dhahabu Buhemba mliokuwa unatumia kama kitega uchumi cha Chama kuibia serikali pesa. Au umetumwa kujibu mapigo ya Meremeta??? Evidence zipo na presha ziendelee kuwaua kwa kutafuta mchawi mtoa siri!!!! Mbona sijawaona mmetoka public kukataa allegations za Meremeta Revealed!!!! Njooni basi tuwaone, msitumie mlango wa nyuma kurudisha mapigo. Tumieni mlango wa mbele na evidence pia.
Vipi mbona hujatumia TV ya walio wengi, eti TV mlimani!!! Ungeshusha kwenye TV kama ITV, TBC1...etc. Na nyie wasomi wa Chuo Kikuu mnajidai ni CCM wakati hata maslahi yenu ni duni??? Mnakubali kihiyo aliyefoji vyeti ili apate ubunge Temeke??? Are you that low guys?? Au na nyie ni njaa tu mnataka hela??? Semeni kama nyie ni TV ya Chama, kwani kuna ubaya gani tukiwafahamu??? Msituaibishe!! Ha ha ha 2010 vibaraka watajipendekeza wengi. Tutayaona mengi ya kisanii!!!
Long live Mzee Mwanakijiji, long live JF.