Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I guess so. Ila njaa kitu kingine aisee. Hebu fikiria lijitu kama Komba bila shati....OMG!
Duh, nimekosa mengi......kwi kwi kwi
Mkuu Mwanakijiji kumbe ulishatia timu Trinidad & Tobago, aisee wee si wa kawaida
jamani hebu tusaidieni sisi wengine, hilo gazeti la mwanakijiji linaitwaje?
Ogah...ni aje babu? Vipi unene wa mheshimiwa Komba wewe unauonaje? Lol
usijeshangaa akawa prezidaabwa ha ha ha ha ha pepeta pepeta tehe tehe tehe hujakosea mashori wanawapenda sana kwa sababu
-ni wahongaji wazuri
-hawana game ya kuchosha.....1 tu lishaanza kukoroma
![]()
Duuh hii kali aisee kumbe mwanakijiji ni babu mwa 1953 haha haha
He looks like a heart attack waiting to happen. Yeye na kaka'ke kapteni hapo pembeni. So what exactly is his position ndani ya CCM? I have to keep up with these fisadis in the making.
usijeshangaa akawa prezidaa
Wanaopigana Tarime wameshiba hao,kwani mwenye njaa hana uwezo wa kurusha hata teke sembuse nchale!Nakuomba Mzee Mwanakijiji usikate tamaa kwa haya maneno ya kijinga ya hiza. Mjinga hiza anasema jarida la cheche za fikra lina hatarisha amani, je, watu waliokufa kutokana na sumu kule North Mara, hiyo ni kujenga amani??
Je, mapigano ya tarime ambayo ni mradi wa CCM ndo kujenga amani?
Je, watu walidhulumiwa kule buzwagi na wengine wazikwa wakiwa hai kahama ndo kujenga amni?
Mwanakijiji, wewe endelea kutusaidia kufichua uozo na kuuweka hadharani kwa njia hii tutafika. Nasi hapa bongo tunajitahidi lakini hatuna pa kupumlia make mafisadi wamejaaevery corner.
njaaa kweli kitu kibaya saaana naunga mkono hapo, hili jinga jinga sijui linaongea nini tumbo kubwa limejaa pilau tu.......pia mimi nadhani njaa ni mbaya sana,inauza uhuru wa tambwe hizza