.......pia mimi nadhani NJAA NI MBAYA SANA,INAUZA UHURU WA TAMBWE HIZZA
Mwanakijiji, Hana haja ya kujibu. Tambwe sio size yake. Akatafute mengine ya kusema.
Tambwe is a looser just like his brother Makamba na ka gege kao .Tambwe ni msukule tu yaani akili za wana CCM ni za ajabu .Leo kama anadhani Mwanakijiji hasemi ya Ukweli why atumie muda kujibu hoja zake. Tambwe ni muhuni opportunist. Ndiyo nasema kamwambieni then akijua ni mimi ata atafyata maana anajua namjua kuliko anavyo jijua.
Nitatoa siri zake zote anazo zitoa juu ya CCM na move zao ndipo CCM watajua Tambwe si mwenzao anaganga njaa na kutumia kivuli cha CCM kujitajirisha.
Tambwe anaongoza kwa kuwapa wapinzani siri za CCM na woa wanalia lia siri za Chama nk .
Tambwe anakiri yuko pale kwa njaa zake na si CCM
Anasema CCM haibebeki na anasema ana enjoy kupigiwa magoti na mawaziri wakimtaka awasaidie kusema uongo majukwaani
Tambwe huyu jamani naye anajibu hoja za watu walio soma?
Tambwe aliye forge vyeti akaja akanyimwa kugombea Ubunge Temeke enzi za NCCR?
Na hao UD nao kweli wanaweza kuwa kama mzee wa kikofia Makwaia. Kama anadhani mwanakijiji na kigazeti threat kwa amani ya Tanzania CCM waende mahakamani.
.......pia mimi nadhani NJAA NI MBAYA SANA,INAUZA UHURU WA TAMBWE HIZZA
Vipi mbona hujatumia TV ya walio wengi, eti TV mlimani!!! Ungeshusha kwenye TV kama ITV, TBC1...etc..
si mnaona wakuu?hili ni swala ambalo wenye uchungu na nchi hawawezi kukosa kulihisi.Na nyie wasomi wa Chuo Kikuu mnajidai ni CCM wakati hata maslahi yenu ni duni???... .
...Semeni kama nyie ni TV ya Chama, kwani kuna ubaya gani tukiwafahamu??? Msituaibishe!! Ha ha ha 2010 vibaraka watajipendekeza wengi. Tutayaona mengi ya kisanii!!!
sasa hili nililobold ndilo kubwa na la msingi kwa MA-AKADEMISHIANI WETU
Keep it up!!! Keep it up Linyunyu "Kisu kikali". Kata mkuu siogope. Sasa hivi anajipendekeza anajua 2010 is around the corner. Ni mnafiki mkubwa sana huyo. Tena asicheze tukamlipua na akatemwa na hiyo CCM tena kijumla kabisa. Tambwe kama unanisikia wewe ni kibaraka mkubwa sana wa CCM kwa vyama vya upinzani na pia siri za namna CCM mnavyojidai kuwa mnashughulikia mafisadi kumbe ni viini macho Tambwe wenu anahongwa bia anatoa hadharani. Yaani jamaa ni njaa ile mbaya, nafikiri hata buku anapokea tu. Usione kitambi hilo limejaa minyama na bia tu. Unataka nitaje hata vijiwe vyako wewe fisadi wa Chama???
Kwa taarifa Mwanakijiji hagusiki. Ni mzalendo anaipenda nchi yake ndiyo maana anasema hadharani na haogopi. Kwani kuna uongo gani ndani ya makala za Mwanakijiji??? Vyote ni ukweli mtupu na sisi tunaoelewa tunamuunga mkono. Na bado ataendelea kuwalipua kama ule mgodi wa Dhahabu Buhemba mliokuwa unatumia kama kitega uchumi cha Chama kuibia serikali pesa. Au umetumwa kujibu mapigo ya Meremeta??? Evidence zipo na presha ziendelee kuwaua kwa kutafuta mchawi mtoa siri!!!! Mbona sijawaona mmetoka public kukataa allegations za Meremeta Revealed!!!! Njooni basi tuwaone, msitumie mlango wa nyuma kurudisha mapigo. Tumieni mlango wa mbele na evidence pia.
Vipi mbona hujatumia TV ya walio wengi, eti TV mlimani!!! Ungeshusha kwenye TV kama ITV, TBC1...etc. Na nyie wasomi wa Chuo Kikuu mnajidai ni CCM wakati hata maslahi yenu ni duni??? Mnakubali kihiyo aliyefoji vyeti ili apate ubunge Temeke??? Are you that low guys?? Au na nyie ni njaa tu mnataka hela??? Semeni kama nyie ni TV ya Chama, kwani kuna ubaya gani tukiwafahamu??? Msituaibishe!! Ha ha ha 2010 vibaraka watajipendekeza wengi. Tutayaona mengi ya kisanii!!!
Long live Mzee Mwanakijiji, long live JF.
I guess so. Ila njaa kitu kingine aisee. Hebu fikiria lijitu kama Komba bila shati....OMG!
Hii mijamaa ya CCM mbona iko minene minene hivi? Halafu mashori wa kibongo eti wanaiona iko sexy...WTF!?!?!
NN:
Kwikwikwi. Watu tunabisha kuwa sisi ndivyo tulivyo. Hii hapa ni study inayosema kuwa: High-Fat Diet May Make You Stupid and Lazy. http://news.yahoo.com/s/livescience/20090812/sc_livescience/highfatdietmaymakeyoustupidandlazy
HAHAHAHAH!kwani NN unadhani dada zetu hapa bongo zinawatosha?wenzio wanaona zile hela ndo ziko SEXY,Yaani eti demu analiona jitu kama Komba kuwa sexy!! LMAO......mwenye picha ya Komba aiweke hapa tafadhali....
HAHAHAHAH!kwani NN unadhani dada zetu hapa bongo zinawatosha?wenzio wanaona zile hela ndo ziko SEXY,
mkuu unaweza ukapiga shoulder yako ukaenea,ukapiga pull-over yako ukakata tumbo frresh,ukawa na nguvu za ''kumride'' hadi anapiga vigelegele,lakini lenye kitambi hilo linakuja kukuchukulia dem wako hivihivi
Aisee nikija kupoteza demu wangu kwa jitu nene kama Komba basi ninaweza nikajitia kitanzi aisee..haki ya nani tena...Lol
Hahahahah!utajitia kitanzi kisa komba AU KISA DEMU?Aisee nikija kupoteza demu wangu kwa jitu nene kama Komba basi ninaweza nikajitia kitanzi aisee..haki ya nani tena...Lol
du!! leo nimecheka sijawahi JF inafurahisha inabidi niende benki nikalipieHAHAHAHAH!kwani NN unadhani dada zetu hapa bongo zinawatosha?wenzio wanaona zile hela ndo ziko SEXY,
mkuu unaweza ukapiga shoulder yako ukaenea,ukapiga pull-over yako ukakata tumbo frresh,ukawa na nguvu za ''kumride'' hadi anapiga vigelegele,lakini lenye kitambi hilo linakuja kukuchukulia dem wako hivihivi
Keep it up!!! Keep it up Linyunyu "Kisu kikali". Kata mkuu siogope. Sasa hivi anajipendekeza anajua 2010 is around the corner. Ni mnafiki mkubwa sana huyo. Tena asicheze tukamlipua na akatemwa na hiyo CCM tena kijumla kabisa. Tambwe kama unanisikia wewe ni kibaraka mkubwa sana wa CCM kwa vyama vya upinzani na pia siri za namna CCM mnavyojidai kuwa mnashughulikia mafisadi kumbe ni viini macho Tambwe wenu anahongwa bia anatoa hadharani. Yaani jamaa ni njaa ile mbaya, nafikiri hata buku anapokea tu. Usione kitambi hilo limejaa minyama na bia tu. Unataka nitaje hata vijiwe vyako wewe fisadi wa Chama???
Kwa taarifa Mwanakijiji hagusiki. Ni mzalendo anaipenda nchi yake ndiyo maana anasema hadharani na haogopi. Kwani kuna uongo gani ndani ya makala za Mwanakijiji??? Vyote ni ukweli mtupu na sisi tunaoelewa tunamuunga mkono. Na bado ataendelea kuwalipua kama ule mgodi wa Dhahabu Buhemba mliokuwa unatumia kama kitega uchumi cha Chama kuibia serikali pesa. Au umetumwa kujibu mapigo ya Meremeta??? Evidence zipo na presha ziendelee kuwaua kwa kutafuta mchawi mtoa siri!!!! Mbona sijawaona mmetoka public kukataa allegations za Meremeta Revealed!!!! Njooni basi tuwaone, msitumie mlango wa nyuma kurudisha mapigo. Tumieni mlango wa mbele na evidence pia.
Vipi mbona hujatumia TV ya walio wengi, eti TV mlimani!!! Ungeshusha kwenye TV kama ITV, TBC1...etc. Na nyie wasomi wa Chuo Kikuu mnajidai ni CCM wakati hata maslahi yenu ni duni??? Mnakubali kihiyo aliyefoji vyeti ili apate ubunge Temeke??? Are you that low guys?? Au na nyie ni njaa tu mnataka hela??? Semeni kama nyie ni TV ya Chama, kwani kuna ubaya gani tukiwafahamu??? Msituaibishe!! Ha ha ha 2010 vibaraka watajipendekeza wengi. Tutayaona mengi ya kisanii!!!
Long live Mzee Mwanakijiji, long live JF.
Duh,
Kahitimisha vibaya!
"Mwanakijiji anatumia kijigazeti chake kuchafua amani ya Tanzania"