Kahama, Tanzania
TANZANITE NI RASILIMALI INAYOPATIKANA TANZANIA PEKEE, HIVYO TUWEZE KUONGEZA THAMANI
YAKE
View: https://m.youtube.com/watch?v=TAir66Cw5X8
Sekta ya madini tupo nyuma katika kuongeza thamani, kwani tukikata madini kama tazanite, almasi, Vito hadi watalii wakija Tanzania wanunue madini yaliyoongezewa thamani katika umbo la pete, vidani, hereni, bangili, vikuku, mikufu n.k ingeongeza mapato nchini juu ya utalii.
Kwa mfumo wa kuongeza thamani pia ajira nyingi zitaongezwa kama masonara, madalali, maonesho n.k
Hayo yamesemwa na mweyekiti wa wauza madini Tanzania ndugu Osman Abdulsattar Tharia, kuwa eneo la kuongeza madini / Vito thamani na ajira nchini ni fursa kubwa
Sababu nchi zingine kama UAE, Belgium, India, Thailand zinafaidika na mikakati ya kuongeza thamani madini, ujuzi wa kukata, masonara na masoko pia maonesho ambayo yamefunganishwa na kuvutia utalii katika nchi hizo.
Osman Abdulsattar amesema kutegemea kodi ya kuuza madini ghafi ambayo hayajaongezwa thamani ni kuendelea kupata mapato madogo sana kutokana na madini tuliyo nayo. Hivyo mikakati ya kuongeza thamani madini yetu iharakishwe ili nchi ifaidi mapato makubwa kutokana na madini yetu.
TANZANITE NI RASILIMALI INAYOPATIKANA TANZANIA PEKEE, HIVYO TUWEZE KUONGEZA THAMANI
YAKE
View: https://m.youtube.com/watch?v=TAir66Cw5X8
Sekta ya madini tupo nyuma katika kuongeza thamani, kwani tukikata madini kama tazanite, almasi, Vito hadi watalii wakija Tanzania wanunue madini yaliyoongezewa thamani katika umbo la pete, vidani, hereni, bangili, vikuku, mikufu n.k ingeongeza mapato nchini juu ya utalii.
Kwa mfumo wa kuongeza thamani pia ajira nyingi zitaongezwa kama masonara, madalali, maonesho n.k
Hayo yamesemwa na mweyekiti wa wauza madini Tanzania ndugu Osman Abdulsattar Tharia, kuwa eneo la kuongeza madini / Vito thamani na ajira nchini ni fursa kubwa
Sababu nchi zingine kama UAE, Belgium, India, Thailand zinafaidika na mikakati ya kuongeza thamani madini, ujuzi wa kukata, masonara na masoko pia maonesho ambayo yamefunganishwa na kuvutia utalii katika nchi hizo.
Osman Abdulsattar amesema kutegemea kodi ya kuuza madini ghafi ambayo hayajaongezwa thamani ni kuendelea kupata mapato madogo sana kutokana na madini tuliyo nayo. Hivyo mikakati ya kuongeza thamani madini yetu iharakishwe ili nchi ifaidi mapato makubwa kutokana na madini yetu.