cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ila kutolipwa mishahara kwa miezi hiyo, ni protocol za utumishi wa umma? Woiiiiih.Sio protocol za utumishi wa umma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kutolipwa mishahara kwa miezi hiyo, ni protocol za utumishi wa umma? Woiiiiih.Sio protocol za utumishi wa umma.
Nimemshauri aachane na huo ufara afanye mambo mengine..... Hizo ajira za mkataba kwa watu wa afya zilikuwa zimetoka kwa sababu ya pesa za wafadhiri....... Wafadhiri walitoa fungu kufadhiri ajira hizo ila kwa sababu nchi inaongozwa na wezi na warafi wameamua kujikopesha ili wafanyie mambo yao...... LaaanatullahBinafsi sinaga uvumilivu kwenye mambo ya maisha yangu nifanye kazi bure miezi minne bila malipo ?? Kisa naogopa kupoteza kazi na kujipa moyo mambo mazuri yana kuja
[emoji28][emoji28]dadeki au ata mikataba hamna maana iyo ni Breach of contract tayari
Kibinadamu inaumiza sana .Duuh kuna watu hawana huruma kabsa hata hawafikirii maisha ya hao wafanyakazi
Tamisemi ndo wahusikaKazini kwa Odo kaziipo
Haah na kwanini wameita kazini na wanajua hawana hela.N
Nimemshauri aachane na huo ufara afanye mambo mengine..... Hizo ajira za mkataba kwa watu wa afya zilikuwa zimetoka kwa sababu ya pesa za wafadhiri....... Wafadhiri walitoa fungu kufadhiri ajira hizo ila kwa sababu nchi inaongozwa na wezi na warafi wameamua kujikopesha ili wafanyie mambo yao...... Laaanatullah
Changamoto inaanza hapo ?WB sizani kama wana weza kufanya ujinga kama huo wa kuchelewesha pesa.hao ni Tamisemi wame zilamba na report Wb ina onesha mambo yako vzuri[emoji28][emoji28]
Unatakiwa ujue ukitoka unaenda wapi ?Binafsi sinaga uvumilivu kwenye mambo ya maisha yangu nifanye kazi bure miezi minne bila malipo ?? Kisa naogopa kupoteza kazi na kujipa moyo mambo mazuri yana kuja
[emoji28][emoji28]dadeki au ata mikataba hamna maana iyo ni Breach of contract tayari
Ushenzi tuIla kutolipwa mishahara kwa miezi hiyo, ni protocol za utumishi wa umma? Woiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Narudi wapi nilikotoka kugumu pia akili imestuckSi uachane nazo mdogo wangu... Achana nazo ufanye mambo mengine....... Hakuna wa kukuonea huruma humu jamii forum, sio ummy mwalimu, au Dr mollel kila mmoja anachumia tumbo lake
Sasa kimbia hapo harakaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushenzi tu
Wizara ya afya inahitaji special audit kwenye grants au misaada inayotoka kwenye mashirika, kila mwaka wao wanapokea tu ila matumizi yake hayaonekaniTanzania maternal and child health program iko chini ya Tamisemi kwa ufadhili wa WB.
Watumishi zaidi ya 270 hawana mishahara yapata miezi minne sasa na wapo maeneo ya kazi.
Sana Yani yeye ana kazi permanent ila bad o mtu anakaza ya mkataba anamkandamiza.Kibinadamu inaumiza sana .
Aende wap Sasa.?Sasa kimbia hapo harakaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hana kwao? KhaaahAende wap Sasa.?
@cocastic tuko wote kwenye jukwaa la ajira siwezi kukimbia sijui naenda wapi nataka nipate haki kwa uzuri wala sio kupanicSasa kimbia hapo harakaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]