Blackperson
Member
- Feb 29, 2024
- 59
- 36
- Thread starter
- #41
Unaenda kwenu una malimbikizo yote na naidai serikali inilipe.Hana kwao? Khaaah
Heri nusu Shari kuliko Shari kamili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaenda kwenu una malimbikizo yote na naidai serikali inilipe.Hana kwao? Khaaah
Haya endelea kusubiri. Kila la kheri.@cocastic tuko wote kwenye jukwaa la ajira siwezi kukimbia sijui naenda wapi nataka nipate haki kwa uzuri wala sio kupanic
Iko Hivi WB wametoa billion 600 kama Grants kusaidia afya ya mama na mtoto.Sijaelewa yaan nimerudia kusoma tena na tena na tena sijaelewa kwa hio wa kuwalipa Mshahara ni nani yaan nani kawaajiri?
Alafu kisheria malalamiko ya maslahi na malipo ya Mshahara yanatakiwa yapelekwe tume ya wafanyakazi ndani ya Siku 30 baada ya mgogoro wa malipo kutokea sasa tangu Mwezi wa 2 mpaka leo unafanya kazi hulipwi alafu unakenua na kupanua tu ili iweje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umekasirikaHaya endelea kusubiri. Kila la kheri.
Na tuliaminishwa vibaya tangu tukiwa shule uhakika wa ajira ila mateso ni makubwa kuanzia diwani hadi mwananchi wa kawaida.Kada ya afya ni zaidi ya utumwa.
Dhulma kutoka kwa mwajiri,manyanyaso mengi halafu chuki kubwa kutoka kwa wananchi na vile vile wanasiasa wamewafanya kama punching bag.
Hutakiwi kulalamika maana hakuna anayekuelewa.Unatakiwa usubiri Mungu akutetee ama ujitetee mwenyewe
Asante kwa ushauri.Kwanini msigome kwa siku kadhaa kuingia kazini ili kushinikiza mlipwe stahiki zenu.
Hamna platform yoyote inayowaunganisha nyote kwa pamoja au kwa wingi kama WhatsApp au telegram groups...??
Kurud hm tena bora ukomae uko au utafute mishe zingine.ukirud hm hasa iz familia zetu utawakataa moyo sanaHana kwao? Khaaah
Dah ni huzuni hela imekwama je?Iko Hivi WB wametoa billion 600 kama Grants kusaidia afya ya mama na mtoto.
Tamisemi ikaajiri watumishi 300 kwa Mkataba was miaka mitatu majina walichukua kwenye database ya waliomba ajira mwezi was nne mwaka 2023 hivyo Kuitwa kazini ilikuwa mwaka huu January.
Tukalipoti kazini na kupanga vituo vya kazi .
Sasa changamoto iliyopo.
Mwezi was pili na wa tatu hakuna malipo tuliyopata kwenye mshahara.
Mwezi wa nne tukaambiwa na Halmashauri zetu kwamba hela imeingia tamisemi.
Sasa kinachotokea kwa sasa.
Walisema wanatulipa mishahara kuanzia wa pili ,tatu na nne hadi ninapoongea hii tunaambiwa hela iko kwa process tukiwauliza wakuu wa halmashauri zenu wanatupa majibu mepesi ya kuwa kuwa pesa imekuwama BOT.
Tukiuliza Tamisemi nao jibu ni hilo hilo.
Kinachotuuma tunashindwa kusaidiwa kama urgent ilhali tuna deal na afya za watanzania.
Na tuliziaminisha jamii tumepata za moja kwa mojaKurud hm tena bora ukomae uko au utafute mishe zingine.ukirud hm hasa iz familia zetu utawakataa moyo sana
Wanasiasa nawachukia sijawahi kupiga kura maisha yangu yoteDah ni huzuni hela imekwama je?
Imefanyaje BOT?pesa imekuwama BOT
Mlishawasirisha malalamiko tangu Mwezi wa Pili?Kinachotuuma tunashindwa kusaidiwa kama urgent ilhali tuna deal na afya za watanzania.
Mlishawasirisha malalamiko tangu Mwezi wa Pili?Kinachotuuma tunashindwa kusaidiwa kama urgent ilhali tuna deal na afya za watanzania.
Wanasiasa wameingiaje hapo?Wanasiasa nawachukia sijawahi kupiga kura maisha yangu yote
Hapana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umekasirika
Hilo ni swali & ushauri, kwanini msigome??Asante kwa ushauri.
Mmeshalipwa Mishahara yenu?Unaenda kwenu una malimbikizo yote na naidai serikali inilipe.
Heri nusu Shari kuliko Shari kamili.
Nitakuambia kitu nachojua kuhusu BOTIko Hivi WB wametoa billion 600 kama Grants kusaidia afya ya mama na mtoto.
Tamisemi ikaajiri watumishi 300 kwa Mkataba was miaka mitatu majina walichukua kwenye database ya waliomba ajira mwezi was nne mwaka 2023 hivyo Kuitwa kazini ilikuwa mwaka huu January.
Tukalipoti kazini na kupanga vituo vya kazi .
Sasa changamoto iliyopo.
Mwezi was pili na wa tatu hakuna malipo tuliyopata kwenye mshahara.
Mwezi wa nne tukaambiwa na Halmashauri zetu kwamba hela imeingia tamisemi.
Sasa kinachotokea kwa sasa.
Walisema wanatulipa mishahara kuanzia wa pili ,tatu na nne hadi ninapoongea hii tunaambiwa hela iko kwa process tukiwauliza wakuu wa halmashauri zenu wanatupa majibu mepesi ya kuwa kuwa pesa imekuwama BOT.
Tukiuliza Tamisemi nao jibu ni hilo hilo.
Kinachotuuma tunashindwa kusaidiwa kama urgent ilhali tuna deal na afya za watanzania.