KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

KERO TAMISEMI ajira za mkataba afya mlizotoa zimekuwa jipu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Sijaelewa yaan nimerudia kusoma tena na tena na tena sijaelewa kwa hio wa kuwalipa Mshahara ni nani yaan nani kawaajiri?

Alafu kisheria malalamiko ya maslahi na malipo ya Mshahara yanatakiwa yapelekwe tume ya wafanyakazi ndani ya Siku 30 baada ya mgogoro wa malipo kutokea sasa tangu Mwezi wa 2 mpaka leo unafanya kazi hulipwi alafu unakenua na kupanua tu ili iweje?
Iko Hivi WB wametoa billion 600 kama Grants kusaidia afya ya mama na mtoto.

Tamisemi ikaajiri watumishi 300 kwa Mkataba was miaka mitatu majina walichukua kwenye database ya waliomba ajira mwezi was nne mwaka 2023 hivyo Kuitwa kazini ilikuwa mwaka huu January.

Tukalipoti kazini na kupanga vituo vya kazi .

Sasa changamoto iliyopo.

Mwezi was pili na wa tatu hakuna malipo tuliyopata kwenye mshahara.

Mwezi wa nne tukaambiwa na Halmashauri zetu kwamba hela imeingia tamisemi.

Sasa kinachotokea kwa sasa.

Walisema wanatulipa mishahara kuanzia wa pili ,tatu na nne hadi ninapoongea hii tunaambiwa hela iko kwa process tukiwauliza wakuu wa halmashauri zenu wanatupa majibu mepesi ya kuwa kuwa pesa imekuwama BOT.

Tukiuliza Tamisemi nao jibu ni hilo hilo.

Kinachotuuma tunashindwa kusaidiwa kama urgent ilhali tuna deal na afya za watanzania.
 
Kada ya afya ni zaidi ya utumwa.
Dhulma kutoka kwa mwajiri,manyanyaso mengi halafu chuki kubwa kutoka kwa wananchi na vile vile wanasiasa wamewafanya kama punching bag.
Hutakiwi kulalamika maana hakuna anayekuelewa.Unatakiwa usubiri Mungu akutetee ama ujitetee mwenyewe
Na tuliaminishwa vibaya tangu tukiwa shule uhakika wa ajira ila mateso ni makubwa kuanzia diwani hadi mwananchi wa kawaida.
 
Kwanini msigome kwa siku kadhaa kuingia kazini ili kushinikiza mlipwe stahiki zenu.
Hamna platform yoyote inayowaunganisha nyote kwa pamoja au kwa wingi kama WhatsApp au telegram groups...??
 
Iko Hivi WB wametoa billion 600 kama Grants kusaidia afya ya mama na mtoto.

Tamisemi ikaajiri watumishi 300 kwa Mkataba was miaka mitatu majina walichukua kwenye database ya waliomba ajira mwezi was nne mwaka 2023 hivyo Kuitwa kazini ilikuwa mwaka huu January.

Tukalipoti kazini na kupanga vituo vya kazi .

Sasa changamoto iliyopo.

Mwezi was pili na wa tatu hakuna malipo tuliyopata kwenye mshahara.

Mwezi wa nne tukaambiwa na Halmashauri zetu kwamba hela imeingia tamisemi.

Sasa kinachotokea kwa sasa.

Walisema wanatulipa mishahara kuanzia wa pili ,tatu na nne hadi ninapoongea hii tunaambiwa hela iko kwa process tukiwauliza wakuu wa halmashauri zenu wanatupa majibu mepesi ya kuwa kuwa pesa imekuwama BOT.

Tukiuliza Tamisemi nao jibu ni hilo hilo.

Kinachotuuma tunashindwa kusaidiwa kama urgent ilhali tuna deal na afya za watanzania.
Dah ni huzuni hela imekwama je?
 
Iko Hivi WB wametoa billion 600 kama Grants kusaidia afya ya mama na mtoto.

Tamisemi ikaajiri watumishi 300 kwa Mkataba was miaka mitatu majina walichukua kwenye database ya waliomba ajira mwezi was nne mwaka 2023 hivyo Kuitwa kazini ilikuwa mwaka huu January.

Tukalipoti kazini na kupanga vituo vya kazi .

Sasa changamoto iliyopo.

Mwezi was pili na wa tatu hakuna malipo tuliyopata kwenye mshahara.

Mwezi wa nne tukaambiwa na Halmashauri zetu kwamba hela imeingia tamisemi.

Sasa kinachotokea kwa sasa.

Walisema wanatulipa mishahara kuanzia wa pili ,tatu na nne hadi ninapoongea hii tunaambiwa hela iko kwa process tukiwauliza wakuu wa halmashauri zenu wanatupa majibu mepesi ya kuwa kuwa pesa imekuwama BOT.

Tukiuliza Tamisemi nao jibu ni hilo hilo.

Kinachotuuma tunashindwa kusaidiwa kama urgent ilhali tuna deal na afya za watanzania.
Nitakuambia kitu nachojua kuhusu BOT
Kuanzia mwaka jana mwezi wa 8 walikuwa na uhaba mkubwa wa fedha zote za ndani na zakigeni hivyo walikuwa wagum kuprocess issue yyte ya Hela nakumbuka tulidai Hela BOT kuanzia mwezi wa 9 tukaja kulipwa mwezi wa 1 2024 kwhy ukiskia Hela zimepitia BOT ujue Kuna kazi ya ziada ya kufanya ili mpate Hela yenu na serikali haitosema chchte kwasababu walikuwa wanadaiwa kwnye miradi mikubwa kama SGR na bwawa la Morogoro so most of the money zilielekezwa huko nadhani kama Kuna mtumishi wa umma atakuwa na ushahidi juu ya hili OC zao wanaona wanavyozipata kwa shida
Kwhy walichowaambia ni sawa kabisa lakin kwa maslah mapan ya taifa siku zote Kuna kipaumbele taifa kwanza nd maan hamjalipwa. Kwhy komaeni make sure mnasurvive Hela yenu mtaipata tu
 
Back
Top Bottom