Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
TAMISEMI, hapa Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni kuna madudu, tafadhali chunguzeni hawa wafanyakazi wenu.
Huu ni mwaka wa 4 sasa nafuatilia malipo yangu sipati ushirikiano wowote toka kwenye hii Halmashauri, kila ninayeambiwa nimfuate ananipiga chenga na kunipa majibu ya kijinga yasiyo na kichwa wala miguu.
Ninawadai hela (Halmashauri) lakini mpaka leo hawataki kunilipa na si mimi tu, tuko wengi, tatizo ni nini?
Je ni kweli Mkurugenzi hajuwi kinachoendelea hapa?
Tunaomba ushirikiano wenu tafadhali.
Huu ni mwaka wa 4 sasa nafuatilia malipo yangu sipati ushirikiano wowote toka kwenye hii Halmashauri, kila ninayeambiwa nimfuate ananipiga chenga na kunipa majibu ya kijinga yasiyo na kichwa wala miguu.
Ninawadai hela (Halmashauri) lakini mpaka leo hawataki kunilipa na si mimi tu, tuko wengi, tatizo ni nini?
Je ni kweli Mkurugenzi hajuwi kinachoendelea hapa?
Tunaomba ushirikiano wenu tafadhali.