Cotton pamba
JF-Expert Member
- Dec 16, 2020
- 303
- 209
Pole sana mkuuNimekumbuka mbali sanaa jinsi nilivyofanyiwa kwenye ajira yangu na serikali, barua ya kazi na kupangiwa kituo nimepewa, nimeacha kazi yangu nimeripoti kituoni nimekaa mwezi kwenye kituo cha kazi baadae naambiwa ajira zetu zimefutwa hili sitalisahau na Mungu ni Mwema kila wakati
ShukraaniPole sana mkuu
756,000?Au labda posho ya kujikimu mkuuBila kukomaa hiyo hela ya kujikimu hamtaipata na mbaya zaidi mmeingia shule zimefungwa mitihani mmeshasahihisha na kupanga matokeo sasa hakuna effect kwa idara ya elimu hata mkigoma.
Mimi nakumbuka tulipata post wakati masomo yanaendelea na kukuta hali ni mbaya hakuna waalim wa sayansi. Yaaan tukakinukusha tulipewa hela fasta za kujikimu halmashauri yetu ila mshahara ulichelewa mwezi mmoja.
Ila tulisain 716,000 mshahara wa degree ila awamu hiibwa degree wamesaini 756,000.
Sijaelewa hapo inakuwaje mbona magepu hayaaa
Sidhani kama kuna uhakiki wa NECTA kama upo mbona wengine wameshalipwa posho yao ya kujikimu?Hao walimu wapya itabidi wawe wavumilivu, vinginevyo miongoni mwao wataikimbia ajira hiyo mapema kwa njaa ukichukulia wengine tayari walikuwa wana miradi iliyokuwa inawapa kipato mpaka wakaanzisha familia.Sasa kama kuna suala la uhakiki wa NECTA lipo mpaka hilo zoezi likamilike litachukua muda mrefu,na huu utakuwa ni usumbufu,iweje wawapangie vituo bila kujiridhisha wakati TAMISEMI na NECTA ni taasisi za serikali? TAMISEMI ilitakiwa kwanza ipate taarifa za NECTA kama taarifa za hao waajiriwa ni sahihi ndiyo wapangiwe halmashauri za kwenda kuripoti na pia mafungu ya fedha za kujikimu yapo wakati wakisubiri majina yaingizwe kwenye payroll.Barua ya ajira hufuata na hatimaye barua ya kuthibitishwa kazini kazini huja.Hao walimu wavumilie kuna taratibu za ajira zitachukua muda kukamilika
Ongezea nyama kidogo mkuu.Nimekumbuka mbali sanaa jinsi nilivyofanyiwa kwenye ajira yangu na serikali, barua ya kazi na kupangiwa kituo nimepewa, nimeacha kazi yangu nimeripoti kituoni nimekaa mwezi kwenye kituo cha kazi baadae naambiwa ajira zetu zimefutwa hili sitalisahau na Mungu ni Mwema kila wakati
Kuna dhuluma kubwa inafanyika hasa hichi kipindi cha awamu ya tano, nilipigwa danadana nikaamua nising'ang'anie labda haikua kher kwangu. vijana tusikate tamaa! !Ongezea nyama kidogo mkuu.
Ilikuwaje ukaachishwa kazi kizembe hivo
pola sana aysee!Kuna dhuluma kubwa inafanyika hasa hichi kipindi cha awamu ya tano, nilipigwa danadana nikaamua nising'ang'anie labda haikua kher kwangu. vijana tusikate tamaa! !
Pole sana mkuu. Huwa yanatokea haya. Ni jambo la kawaida tu katika maisha ya jamiiNimekumbuka mbali sanaa jinsi nilivyofanyiwa kwenye ajira yangu na serikali, barua ya kazi na kupangiwa kituo nimepewa, nimeacha kazi yangu nimeripoti kituoni nimekaa mwezi kwenye kituo cha kazi baadae naambiwa ajira zetu zimefutwa hili sitalisahau na Mungu ni Mwema kila wakati
Wewe ni kilaza..unapojibu swali uwe makini.Kwa manispaa per diem ni 80,000 kwa TGTS D siku 7 itakuwa 560,000/=
Kwanini viwango vitofautiane wakati wote ni intake mojaWewe ni kilaza..unapojibu swali uwe makini.
Nimekuuliza posho ya kujikim ni shngap wametoa?
Kwenye mshahara kuna sintofaham..wengine wamesain 750k wengn 756k
Hapo sijajua ni nn sababu!Kwanini viwango vitofautiane wakati wote ni intake moja
Hata mimi nimeshangaaa. Ajira mpya wengi wamesaini 756k wachache niliowauliza wamesainib716k. Ila amini usiamini mahali TANZAGIZA ilipofikia chochote kinaweza kutokea maana ni nani anaweza kuhoji. Sio vyama vya wafanyakazi sio mimi sio ww yaaan awamu hiii ukisema suuuuuuuu ndo umewekwa pembeni jumlaaaa na figisuuu juuuKwanini viwango vitofautiane wakati wote ni intake moja
Ndo utaratibu ndugu sio kwako tu wenzako wamepita humo lazima NECTA wahakiki kwanzaBinafsi niliripoti tangu 3rd December lakini hakuna linaloendelea. Wanadai wametuma Vyeti vyetu Necta ili vihakikiwe kwanza. Yaani kila kitu Afisa utumishi anadai kuwa hadi Uhakiki ujibiwe na Necta
Pia kuna uzi humu mdau alitupia salary slip basic inasoma 736k yani ni mkanganyiko juu ya mkanganyikoHata mimi nimeshangaaa. Ajira mpya wengi wamesaini 756k wachache niliowauliza wamesainib716k. Ila amini usiamini mahali TANZAGIZA ilipofikia chochote kinaweza kutokea maana ni nani anaweza kuhoji. Sio vyama vya wafanyakazi sio mimi sio ww yaaan awamu hiii ukisema suuuuuuuu ndo umewekwa pembeni jumlaaaa na figisuuu juuu
Ilikua ni tanzania hapa au?Mkuu punguza panic, wenzenu waliwahi kukaa miezi4 bila salary, pesa ya kujikimu walipata baada ya miezi7.
mkuu inaonekana watu wa sayansi ni 756k na wa arts ni 716kHata mimi nimeshangaaa. Ajira mpya wengi wamesaini 756k wachache niliowauliza wamesainib716k. Ila amini usiamini mahali TANZAGIZA ilipofikia chochote kinaweza kutokea maana ni nani anaweza kuhoji. Sio vyama vya wafanyakazi sio mimi sio ww yaaan awamu hiii ukisema suuuuuuuu ndo umewekwa pembeni jumlaaaa na figisuuu juuu
Shahidi mzuri ni mudamkuu inaonekana watu wa sayansi ni 756k na wa arts ni 716k