TAMISEMI fuatilieni Wakurugenzi wa Halmashauri zote kuhusu ajira mpya za Waalimu kuna urasimu mkubwa

Pole sana mkuu
 
756,000?Au labda posho ya kujikimu mkuu

Nijuavyo basic ni ile ile haijabadilika
 
Sidhani kama kuna uhakiki wa NECTA kama upo mbona wengine wameshalipwa posho yao ya kujikimu?
 
Ongezea nyama kidogo mkuu.
Ilikuwaje ukaachishwa kazi kizembe hivo
 
Ongezea nyama kidogo mkuu.
Ilikuwaje ukaachishwa kazi kizembe hivo
Kuna dhuluma kubwa inafanyika hasa hichi kipindi cha awamu ya tano, nilipigwa danadana nikaamua nising'ang'anie labda haikua kher kwangu. vijana tusikate tamaa! !
 
Kuna dhuluma kubwa inafanyika hasa hichi kipindi cha awamu ya tano, nilipigwa danadana nikaamua nising'ang'anie labda haikua kher kwangu. vijana tusikate tamaa! !
pola sana aysee!
 
Pole sana mkuu. Huwa yanatokea haya. Ni jambo la kawaida tu katika maisha ya jamii
 
Kuna ajira mpya wamesain 756k. Nakawaza na sisi wa zaman itaingia 756k nashangaaa leo kitu 716k iko pale pale
 
Kwa manispaa per diem ni 80,000 kwa TGTS D siku 7 itakuwa 560,000/=
Wewe ni kilaza..unapojibu swali uwe makini.

Nimekuuliza posho ya kujikim ni shngap wametoa?

Kwenye mshahara kuna sintofaham..wengine wamesain 750k wengn 756k
 
Wewe ni kilaza..unapojibu swali uwe makini.

Nimekuuliza posho ya kujikim ni shngap wametoa?

Kwenye mshahara kuna sintofaham..wengine wamesain 750k wengn 756k
Kwanini viwango vitofautiane wakati wote ni intake moja
 
Kwanini viwango vitofautiane wakati wote ni intake moja
Hata mimi nimeshangaaa. Ajira mpya wengi wamesaini 756k wachache niliowauliza wamesainib716k. Ila amini usiamini mahali TANZAGIZA ilipofikia chochote kinaweza kutokea maana ni nani anaweza kuhoji. Sio vyama vya wafanyakazi sio mimi sio ww yaaan awamu hiii ukisema suuuuuuuu ndo umewekwa pembeni jumlaaaa na figisuuu juuu
 
Binafsi niliripoti tangu 3rd December lakini hakuna linaloendelea. Wanadai wametuma Vyeti vyetu Necta ili vihakikiwe kwanza. Yaani kila kitu Afisa utumishi anadai kuwa hadi Uhakiki ujibiwe na Necta
Ndo utaratibu ndugu sio kwako tu wenzako wamepita humo lazima NECTA wahakiki kwanza

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Pia kuna uzi humu mdau alitupia salary slip basic inasoma 736k yani ni mkanganyiko juu ya mkanganyiko
 
Mkuu punguza panic, wenzenu waliwahi kukaa miezi4 bila salary, pesa ya kujikimu walipata baada ya miezi7.
 
mkuu inaonekana watu wa sayansi ni 756k na wa arts ni 716k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…