Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Tamisemi imesema , kwa sasa hakutakuwa na kuhama kituo mara baada ya kuajiriwa..
Katika taarifa hiyo hawajaeleza kama sheria imebadirishwa kuzuia watumishi kuhama kutokana na ssbabu mbalimbali kama ilivyo kuwa mwanzo kama kufuata wenza etc.
Wengi wameonyesha kuto kuridhishwa na kauli hiyo yabtamisemi kwani ni kama kuwakomoa waajiriwa na kuwatisha.
Taarifa
View: https://x.com/ortamisemitz/status/1868340252462731319?t=OqdtrjMksMbS2EgHVRzjig&s=19
Katika taarifa hiyo hawajaeleza kama sheria imebadirishwa kuzuia watumishi kuhama kutokana na ssbabu mbalimbali kama ilivyo kuwa mwanzo kama kufuata wenza etc.
Wengi wameonyesha kuto kuridhishwa na kauli hiyo yabtamisemi kwani ni kama kuwakomoa waajiriwa na kuwatisha.
Taarifa
View: https://x.com/ortamisemitz/status/1868340252462731319?t=OqdtrjMksMbS2EgHVRzjig&s=19