TAMISEMI: Hakutakuwa na kuhama kituo mara baada ya kuajiriwa

TAMISEMI: Hakutakuwa na kuhama kituo mara baada ya kuajiriwa

Kama una 2M chap unahama ndani ya siku 3 (fanya makeke miezi 3 ya kwanza baada ya kuripoti).

Haya ni maneno tu yasikitishe, hata kwenye kanga yapo.

Acha utapeli wewe, mtu hawezi kuhama Hadi athibitishwe kazini baada ya mwaka mmoja tokea aanze ajira
 
Cha kusikitisha kada zingine za polisi, jeshi na watu wa usalama wao kuhama ni kawaida na hawana vikwazo, huu ni upendeleo
Sio kweli waulize wengi wao wajaribu kuomba uhamisho toka porini kwenda mijini wakwambie
 
Acha utapeli wewe, mtu hawezi kuhama Hadi athibitishwe kazini baada ya mwaka mmoja tokea aanze ajira
Hiyo unayosema wewe ni kwa mujibu wa taratibu. Hii ninayokuambia mm ni kwa mujibu wa mission town.

Kama unaishi Kolomije au Nanyumbu huwezi kunielewa. Nothing is impossible under the sun.

Wanaotoa rukhusa ya kuhama ama kutokuhama si ni watu tena watanzania tunaoishi nao mitaani humu humu?
 
Hiyo unayosema wewe ni kwa mujibu wa taratibu. Hii ninayokuambia mm ni kwa mujibu wa mission town.

Kama unaishi Kolomije au Nanyumbu huwezi kunielewa. Nothing is impossible under the sun.

Wewe hakuna kitu kama hicho
Mimi nawajua watu wa tatu wametapeliwa na mmoja alibakiza kupata kibali tu Cha uhamisho na ni mtoto wa town lkn naye aliingizwa Cha kike
 
We unashindwa nini kuniambia

Uhamisho kwa sasa ni mgumu sana hasa baada ya kuja hiyo Ess
Ess ndiyo imekuja kuua uhamisho,
Hapo ni connection tu, walijigamba ni mfumo rahisi wa uhamisho lakini ni bomu tu bora wangetuacha na zile local ways zetu
 
Wewe hakuna kitu kama hicho
Mimi nawajua watu wa tatu wametapeliwa na mmoja alibakiza kupata kibali tu Cha uhamisho na ni mtoto wa town lkn naye aliingizwa Cha kike
Na mimi najua watu wawili waliohama kwa connection tena mwaka huu, usibishe..kuna ambao wanafanya kweli
 
Wewe hakuna kitu kama hicho
Mimi nawajua watu wa tatu wametapeliwa na mmoja alibakiza kupata kibali tu Cha uhamisho na ni mtoto wa town lkn naye aliingizwa Cha kike
Walikutana na wahuni tu wa mjini wasiojua mission town. Ndiyo maana inatakiwa kufukunyua huo mpunga wa 2M, dakika za jioni kabisa (hatua ya mwisho) ndiyo unautuma. Kuishi mjini peke yake bila darasa hata moja ni sawa na F6 ya huko Sumbawanga
 
Tamisemi imesema , kwa sasa hakutakuwa na kuhama kituo mara baada ya kuajiriwa..

Katika taarifa hiyo hawajaeleza kama sheria imebadirishwa kuzuia watumishi kuhama kutokana na ssbabu mbalimbali kama ilivyo kuwa mwanzo kama kufuata wenza etc.

Wengi wameonyesha kuto kuridhishwa na kauli hiyo yabtamisemi kwani ni kama kuwakomoa waajiriwa na kuwatisha.

Taarifa

View: https://x.com/ortamisemitz/status/1868340252462731319?t=OqdtrjMksMbS2EgHVRzjig&s=19

Wao mbona wanahama kila uchwao,waache kutishia watumishi wa umma kuhama ni haki ya mtumishi.
 
Ess imefanya uhamisho kwa watumishi kuwa mgumu na sio haki tena kwa mwajiriwa

Hivi vyama vya wafanyakazi ni kama havipo kutetea wafanyakazi ni heri kuwepo na option ya kujitoa uanachama
Option ipo mana sio lazima,andika barua wakuondoe tu.
 
Ess imefanya uhamisho kwa watumishi kuwa mgumu na sio haki tena kwa mwajiriwa

Hivi vyama vya wafanyakazi ni kama havipo kutetea wafanyakazi ni heri kuwepo na option ya kujitoa uanachama
Hilo ndio lengo kuu la ess,sasahivi lawama mpeleke kwenye mfumo😅
 
Kama una 2M chap unahama ndani ya siku 3 (fanya makeke miezi 3 ya kwanza baada ya kuripoti).

Haya ni maneno tu yasikitishe, hata kwenye kanga yapo.
Ukiwa na hela hiyo nasiki unachagua wewe uende wapi,na baada ya zoezi wadau wanakuuliza kama kuna wana washitue😅😅,anyway hii nchi ukiwa na hela wewe ndio katibu mkuu.
 
TAMISEMI ni wizara yenye urasimu sana kwenye issue ya uhamisho. Wametengeneza mazingira ya rushwa na kupelekea baadhi ya watumishi kutapeliwa. Siku hizi ni RUSHWA, RUSHWA, RUSHWA na hakuna anayejali.
Sioni utawala bora katika kipindi hiki. Bora wakati wa bwana yule.
Namwomba Mungu mwaka 2025 kabla na baada ya uchaguzi jambo flani litokee.
Kwa walimu na watu wa Afya au maafisa ugani naunga mkono hoja ya Tamisemi.

Kuna vitoto vishenzi vya huko Dar Huwa vinachukulia Mikoani kama sehemu ya kupatia ajira harafu wanatelekeza vituo vya kazi vya Vijijini.

Ni aidha uache kazi au uendelee hakuna kuhama
 
Cha kusikitisha kada zingine za polisi, jeshi na watu wa usalama wao kuhama ni kawaida na hawana vikwazo, huu ni upendeleo
Hawana majukumu ya msingi Vijijini kama watu wa Afya,Elimu na Kilimo.
 
Cha ajabu uchaguzi mkuu unakuja, wafanya kazi na Vyama vyao hawatafikiria hili kama ni moja ya maswali ya kuwabana viongozi
 
Ni kweli amna kuhama ila Ukija vizuri tuna kuhamisha tu .teh teh
 
Ukiwa na hela hiyo nasiki unachagua wewe uende wapi,na baada ya zoezi wadau wanakuuliza kama kuna wana washitue😅😅,anyway hii nchi ukiwa na hela wewe ndio katibu mkuu.
Namshangaa mdau mmoja hapo juu anabisha wakati hapa mjini hata barua ya ikulu ukitaka unapata.
 
Back
Top Bottom