Naju23
Member
- Jul 25, 2024
- 47
- 77
Idara ya elimu sekondari ni wasani. Dseo ni Afisa Elimu Sekondari wa Wilaya huyu ni msanii na mzandiki, asiyejali alijaa upendeleo. Fuatilia utaniambia.
Hamisho za wakuu wa shulni za hivi karibuni ni za upendeleo na nafasi za wakuu wa shule ni upendeleo wa wazi. Huyu mbwiga anaona walimu wakuu ni wakina Albert Ainstein, Isaac Newton, na wengine huyu mbaba anaona wanataaluma wa kiswahili hawafai kuwa wakuu wa shule.
Malaya na aliyejaa majigambo. Utawala wa Mama umemlea na imetosha aondoke.
Hamisho za wakuu wa shulni za hivi karibuni ni za upendeleo na nafasi za wakuu wa shule ni upendeleo wa wazi. Huyu mbwiga anaona walimu wakuu ni wakina Albert Ainstein, Isaac Newton, na wengine huyu mbaba anaona wanataaluma wa kiswahili hawafai kuwa wakuu wa shule.
Malaya na aliyejaa majigambo. Utawala wa Mama umemlea na imetosha aondoke.