mwalimu wenu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 203
- 19
weka picha mkuu.
weka picha mkuu.
Naongea jambo hili kwa uchungu mkubwa sana.Takribani siku ya tatu sasa tangu majina ya walimu wapya yatangazwe,cha ajabu majina yetu ya sjut-dom(shahada) hayapo kwenye orodha kama 300 na ushee,hamuoni kwamba huu ni ubaguzi ingekuwa chuo kingine mf.udsm mngewaacha hivyo?au sisi tulikuwa tunasoma mambo tofauti na wengine?Tamisemi kisikieni kilio hiki cha watanzania tunaopenda kuitumikia nchi yetu.Mungu ibariki tanzania.
Mahitaji ni walimu wa sayansi kama hausomi sayansi bora ukatafute kaz nyingine.
Naongea jambo hili kwa uchungu mkubwa sana.Takribani siku ya tatu sasa tangu majina ya walimu wapya yatangazwe,cha ajabu majina yetu ya sjut-dom(shahada) hayapo kwenye orodha kama 300 na ushee,hamuoni kwamba huu ni ubaguzi ingekuwa chuo kingine mf.udsm mngewaacha hivyo?au sisi tulikuwa tunasoma mambo tofauti na wengine?Tamisemi kisikieni kilio hiki cha watanzania tunaopenda kuitumikia nchi yetu.Mungu ibariki tanzania.
Labda chuo chenu hakijulikani tamisemi
Naongea jambo hili kwa uchungu mkubwa sana.Takribani siku ya tatu sasa tangu majina ya walimu wapya yatangazwe,cha ajabu majina yetu ya sjut-dom(shahada) hayapo kwenye orodha kama 300 na ushee,hamuoni kwamba huu ni ubaguzi ingekuwa chuo kingine mf.udsm mngewaacha hivyo?au sisi tulikuwa tunasoma mambo tofauti na wengine?Tamisemi kisikieni kilio hiki cha watanzania tunaopenda kuitumikia nchi yetu.Mungu ibariki tanzania.