TAMISEMI kuachia mzigo usiku

Mwaka jana zilianza kutoka kwenye viblog wakati Tamisemi ilikuwa haifunguki.

Kuweni na subira naamini mambo yatakuwa mazuri.
 
ndg wanajamvi kwa taarifa nilizozpata muda huu ni kwamba kuanzia muda uwe unatembelea website mara kwa mara coz mzigo utatemwa kuanzia leo usiku.source ofisi ya tamisemi dodoma

??????? Vipi muda ulosema haujafika??
 
Hahahaha mkuu we ni noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…