TAMISEMI kuachia mzigo usiku

TAMISEMI kuachia mzigo usiku

Joined
Jan 15, 2015
Posts
67
Reaction score
8
ndg wanajamvi kwa taarifa nilizozpata muda huu ni kwamba kuanzia muda uwe unatembelea website mara kwa mara coz mzigo utatemwa kuanzia leo usiku.source ofisi ya tamisemi dodoma
 
Nyie nanyi mmezidi Mawenge" Mara mwingine Usiku huu, ooooh tar 28!.. Ptuuuuuu, kama kweli mna hao watu tamisemi, si wawambie mmepangiwa wapi afu mpige kmya. Sasa nanyi mwasubiri kama sie tusiokua na watu eti wa karibu tamisemi...Kaaa tulienii mbona kama mmetiwa ndimu SAMAHANI LAKINI.
 
Nyie nanyi mmezidi Mawenge" Mara mwingine Usiku huu, ooooh tar 28!.. Ptuuuuuu, kama kweli mna hao watu tamisemi, si wawambie mmepangiwa wapi afu mpige kmya. Sasa nanyi mwasubiri kama sie tusiokua na watu eti wa karibu tamisemi...Kaaa tulienii mbona kama mmetiwa ndimu SAMAHANI LAKINI.

Jamaaa uko poa sanaa, hawa jamaa wanatusumbua SI MTULIEEEEEE
 
mi mnanikeli na habari zenu! Kwahiyo hilojukumu kakabidhiwa mlinzi!!
 
Ebu tuacheni tuwaze kwa sautiii,khaaaa kama mna kazi c nyie? bwana eeeeeeh
 
Back
Top Bottom