TAMISEMI mbona kimya mwezi wa sita huu mwaka huu hawaajiri Walimu na Afya?

TAMISEMI mbona kimya mwezi wa sita huu mwaka huu hawaajiri Walimu na Afya?

Muhsin Snr

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2020
Posts
515
Reaction score
806
Habari wakuu, kama title inavojieleza....tunaelekea mwaka mpya wa kiserikali(kibajeti)

Hofu yangu kuu ni kua tamisemi hawajafungua ajira za walimu na watu wa afya hadi mda huu naandika uzi
swali la kujiuliza

a) Tuna sufficient za hao watu katika hizo sehemu nyeti kabisa katika maendeleo ya nchi (bila elimu na afya maendeleo ni ndoto kwa nchi)?

b) Mwaka huu zile propaganda za ajira 23000 ni kwa ajili ya kupata kura? Itoshe kusema hali ya ajira kwa vijana waliosoma na wasiosoma si nzuri kiujumla

NB: HUU UZI UPO KAMA SWALI SIO MAONI UKIJIBU MAANA YAKE UNAJIBU KWA FACT AU MAONI YAKO NAYAPOKEA

Nawasilisha
wasalaam
 
nimekuelewa mkuu,mada nimeileta kama swali kua mwaka huu hawaajiri je walimu na wahudumu wa afya wapo wa kutosha au zile kibali ni ajenda za uchaguzi???
Mwaka huu zitatoka muda wowote au mwakani maana kibali kinaanza mwaka wa fedha mpya 2024/25
 
Mh hivi jamani mwaka huu hakuna ajira tamisemi? Maana mwaka unaenda hivo
 
Bilashaka wanataka wazitumie kisiasa.Andaa kadi ya chama na NIDA Yako,mi nshakata tamaa kabisa yaaani.
 
Habari wakuu, kama title inavojieleza....tunaelekea mwaka mpya wa kiserikali(kibajeti)

Hofu yangu kuu ni kua tamisemi hawajafungua ajira za walimu na watu wa afya hadi mda huu naandika uzi
swali la kujiuliza

a) Tuna sufficient za hao watu katika hizo sehemu nyeti kabisa katika maendeleo ya nchi (bila elimu na afya maendeleo ni ndoto kwa nchi)?

b) Mwaka huu zile propaganda za ajira 23000 ni kwa ajili ya kupata kura? Itoshe kusema hali ya ajira kwa vijana waliosoma na wasiosoma si nzuri kiujumla

NB: HUU UZI UPO KAMA SWALI SIO MAONI UKIJIBU MAANA YAKE UNAJIBU KWA FACT AU MAONI YAKO NAYAPOKEA

Nawasilisha
wasalaam
Ajira za walimu zilishatangazwa tayari na deadline ilishapita
 
Ajira zipo njiani ila mwaka huu utaratibu ni wa hovyo saana

Walimu ambao wapo shule binafsi wengi watashindwa kuomba
 
Back
Top Bottom