Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
zitakua tayatiKwanza hazitoombwa kwa pamoja ni kila wilaya(Halmashauri) watatangaza kivyao
Kutakuwa na mtihani kwa waombaji
Kwaiyo kuchelewa huku ni mipango ipo inawekwa sawa but ZITAKUWA NDIO AJIRA ZA HOVYO ZAIDI KUWAI KUTOKEA TAMISEMI
naziona ajira portal. kada zingine wanafanya pia usali wacha na wao wachujwe