TAMISEMI mbona kimya mwezi wa sita huu mwaka huu hawaajiri Walimu na Afya?

TAMISEMI mbona kimya mwezi wa sita huu mwaka huu hawaajiri Walimu na Afya?

Zitatangazwa pamoja but wataombea halmashauri husika
Kwamba ukiapply halmashauri ya Hai, hutorihusiwa kuapply na halmashauri ya Nkasi at the same time? Au unamaanisha unaomba ajira halmashauri unayoishi kwa muda huo?
 
Unawaza ajira ni sawa ila connection unayo?
Zinaweza kutangazwa alaf wakapata wenye connection zao tuu
 
Unawaza ajira ni sawa ila connection unayo?
Zinaweza kutangazwa alaf wakapata wenye connection zao tuu
Acha kuwaza mambo ya connection...aweke juhudi kama vigezo anavyo atapata...vinginevyo atakuwa chawa au ataliwa bure
 
Habari wakuu, kama title inavojieleza....tunaelekea mwaka mpya wa kiserikali(kibajeti)

Hofu yangu kuu ni kua tamisemi hawajafungua ajira za walimu na watu wa afya hadi mda huu naandika uzi
swali la kujiuliza

a) Tuna sufficient za hao watu katika hizo sehemu nyeti kabisa katika maendeleo ya nchi (bila elimu na afya maendeleo ni ndoto kwa nchi)?

b) Mwaka huu zile propaganda za ajira 23000 ni kwa ajili ya kupata kura? Itoshe kusema hali ya ajira kwa vijana waliosoma na wasiosoma si nzuri kiujumla

NB: HUU UZI UPO KAMA SWALI SIO MAONI UKIJIBU MAANA YAKE UNAJIBU KWA FACT AU MAONI YAKO NAYAPOKEA

Nawasilisha
wasalaam
Ajira tayari
 
Back
Top Bottom