Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Elfu 12Kada za afya ajira 13,187...vipi upande wa ualimu au sijasikia vzr?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elfu 12Kada za afya ajira 13,187...vipi upande wa ualimu au sijasikia vzr?
🤔🤔🤔 Unasema anaupiga mwingi katika angle ipi maana mimi macho yangu hayaoni kabisaaaamama anaupiga mwingi
Tunasubiria watuserereshe siee wasitutanie!
Kwamba ukiapply halmashauri ya Hai, hutorihusiwa kuapply na halmashauri ya Nkasi at the same time? Au unamaanisha unaomba ajira halmashauri unayoishi kwa muda huo?Zitatangazwa pamoja but wataombea halmashauri husika
Achana na wazushi haoKwamba ukiapply halmashauri ya Hai, hutorihusiwa kuapply na halmashauri ya Nkasi at the same time? Au unamaanisha unaomba ajira halmashauri unayoishi kwa muda huo?
Acha kuwaza mambo ya connection...aweke juhudi kama vigezo anavyo atapata...vinginevyo atakuwa chawa au ataliwa bureUnawaza ajira ni sawa ila connection unayo?
Zinaweza kutangazwa alaf wakapata wenye connection zao tuu
Ni sawa kwani hata ajira za watendaji kata na vijiji wanafanya hivyo. Hii inasaidia kumpata mtumishi aliye tayari kutumikia halmshauri husika kwani anaifahamu vyema.Zitatangazwa pamoja but wataombea halmashauri husika
Ajira tayariHabari wakuu, kama title inavojieleza....tunaelekea mwaka mpya wa kiserikali(kibajeti)
Hofu yangu kuu ni kua tamisemi hawajafungua ajira za walimu na watu wa afya hadi mda huu naandika uzi
swali la kujiuliza
a) Tuna sufficient za hao watu katika hizo sehemu nyeti kabisa katika maendeleo ya nchi (bila elimu na afya maendeleo ni ndoto kwa nchi)?
b) Mwaka huu zile propaganda za ajira 23000 ni kwa ajili ya kupata kura? Itoshe kusema hali ya ajira kwa vijana waliosoma na wasiosoma si nzuri kiujumla
NB: HUU UZI UPO KAMA SWALI SIO MAONI UKIJIBU MAANA YAKE UNAJIBU KWA FACT AU MAONI YAKO NAYAPOKEA
Nawasilisha
wasalaam
Ni swali au jibu?Ajira tayari
Ramli tu hizi mkuu hakuna uhakikawiki ijayo kuanzia J3 wanatangaza
Chawa kama chawa wengine ajira zitatangazwa December kazini Feb 2025wiki ijayo kuanzia J3 wanatangaza