Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengime wamesomea ualimu lkn ni mabogasi tu kichwanKwenu watendaji wa Tamisemi.
Kuna vijana wengi wameomba ajira za ualimu ambao sio walimu na mfumo umewakubali kabsa bila shida
Sasa kwa ushauri tu muanze na mchujo wa vyeti vya chuo kabla ya kitu kingine mtanishukulu badae
Pia Kuna wengine wana degree za uchumi lakini hawana talanta Wala mbinu za ufundishaji yaani wanafundisha ili mkono uende kinywani.Kuna wengime wamesomea ualimu lkn ni mabogasi tu kichwan
Hahaha sasa wapi tuanzie ?Pia Kuna wengine wana degree za uchumi lakini hawana talanta Wala mbinu za ufundishaji yaani wanafundisha ili mkono uende kinywani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti "mtanishukulu"
Unaogop
TAMISEMI wanaangalia aliyeandika barua vizuri inayovutia, hivyo tulia.Kwenu watendaji wa Tamisemi.
Kuna vijana wengi wameomba ajira za ualimu ambao sio walimu na mfumo umewakubali kabsa bila shida
Sasa kwa ushauri tu muanze na mchujo wa vyeti vya chuo kabla ya kitu kingine mtanishukulu badae
We inakuuma nini au stress za maisha?Kwenu watendaji wa Tamisemi.
Kuna vijana wengi wameomba ajira za ualimu ambao sio walimu na mfumo umewakubali kabsa bila shida
Sasa kwa ushauri tu muanze na mchujo wa vyeti vya chuo kabla ya kitu kingine mtanishukulu badae
Hao wenye mbinu wameSaidia nn? Mbona watoto wanafeli kila sikuPia Kuna wengine wana degree za uchumi lakini hawana talanta Wala mbinu za ufundishaji yaani wanafundisha ili mkono uende kinywani.
Kweli mkuu me nimiongoni mwa watu niliyefundishwa na wasiyo walimu, eti kisa mtu anaweza kusolve mathe anapewa chaki afundishe basi kufundisha haijui ila inafundisha ili mkono uende kinywaniTanzania hii unaweza ukaachwa mwalimu then akachukuliwa asiye mwalimu [emoji23][emoji23]
Kuna mtu namjua amesoma Bsc mathematics kaajiriwa na anapiga mzigo
Waliowengi hawana mbinu ndiyo maana watoto wanafail Mkuu inshort taaluma ya Ualimu inevamiwa na wasaka pesa.Hao wenye mbinu wameSaidia nn? Mbona watoto wanafeli kila siku
Kwl, hivi ni muda Gan tamisemi huchukua kupitia maombi had kutangaza walio ajiriwaTamisemi wameupiga mwingi
hivi waalim mbona wao huwa wanalalamikaga tuuu mara ajira sjui zlkua znasumbua mtandao mara mshahara mdogo. Mara uhamisho.. yan sjui chuon nanafundshwa ili waje kuwa watoa lawama me hapo ndo nlshndwa kuwaelewa. Na kingine ajira hiz za juz sjaona lawama za wahitimu wa sekta ya afya sasa walim daah kila mda mara husabat halipo mara kiswahili sjiuKwenu watendaji wa Tamisemi.
Kuna vijana wengi wameomba ajira za ualimu ambao sio walimu na mfumo umewakubali kabsa bila shida
Sasa kwa ushauri tu muanze na mchujo wa vyeti vya chuo kabla ya kitu kingine mtanishukulu badae