TAMISEMI mfumo umeruhusu wasio walimu kuomba ajira

TAMISEMI mfumo umeruhusu wasio walimu kuomba ajira

hivi waalim mbona wao huwa wanalalamikaga tuuu mara ajira sjui zlkua znasumbua mtandao mara mshahara mdogo. Mara uhamisho.. yan sjui chuon nanafundshwa ili waje kuwa watoa lawama me hapo ndo nlshndwa kuwaelewa. Na kingine ajira hiz za juz sjaona lawama za wahitimu wa sekta ya afya sasa walim daah kila mda mara husabat halipo mara kiswahili sjiu
Walim hao, ndugu nipe range ya mda unautumiwa na Tamisemi kupitia maombi had kutangaza majina yenyew
 
Back
Top Bottom