hivi waalim mbona wao huwa wanalalamikaga tuuu mara ajira sjui zlkua znasumbua mtandao mara mshahara mdogo. Mara uhamisho.. yan sjui chuon nanafundshwa ili waje kuwa watoa lawama me hapo ndo nlshndwa kuwaelewa. Na kingine ajira hiz za juz sjaona lawama za wahitimu wa sekta ya afya sasa walim daah kila mda mara husabat halipo mara kiswahili sjiu