zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
unapingana na elimu bureKweli mzazi huoni aibu kulipa 1,500/= kwa mwezi kwa ajili ya elimu ya mtoto wako? Hivi huwa mnategemeaga nini? Mi ningekuwa mwalimu mkuu wote mngelipa 10,000/= kwa mwezi
1500 inatosha maana matoto yako mengi mno