TAMISEMI mpo wapi, Wilaya ya Mvomero hakuna kinachoendelea. Ni upigaji, uonevu wa watumishi na ushirikina tu

TAMISEMI mpo wapi, Wilaya ya Mvomero hakuna kinachoendelea. Ni upigaji, uonevu wa watumishi na ushirikina tu

Kwa kuandika bandiko hili mtu asije akadhani kwamba mimi ni mtumishi,sio ni mdau wa maendeleo ninayekerwa na hali halisi ilivyo katika Wilaya yangu ya Mvomero.Taarifa nyingi zinakera,ndio zinakera sana,ni kama Wilaya haina mwenyewe.

Kila mahali ushirikina umekuwa gumzo, wafanyikazi wanashindwa kutoa sauti zao kufunua maovu kwa kuwa wanaogopa kulogwa. Ndio,hofu ya uchawi imeikumba Wilaya ya Mvomero.

Rasilimali za serikali sasa ni mali za watu binafsi na hakuna anayekemea tatizo hilo kwa sababu ya kuogopa kulogwa.Wizi wa mali za uma nao ni kitu cha kawaida,huku wahusika wa matukio hayo wakiamini kwamba hata kama watajulikana hakuna hatua zitakazochukuliwa kwa kuwa wataloga!

Siajabu Mvomero mtu akapelekwa masomoni na asipewe hela ya kujikimu akiwa masomoni.Haya yametokea,na akihoji anaambiwa yeye kafuata masomo.

Siajabu yakaandikwa madokezo ya malipo majina ya wafanyikazi yakaandikwa,zikatiwa sahihi zisizo zao,na fedha ikachukuliwa na mtu mwingine kabisa.

Hivi karibuni Sh.300 million zilitolewa kwa ujenzi wa madarasa Shule ya Msingi Mbigiri na TAMISEMI,lakini ni Sh.80 million tu zilizokwenda kwenye Shule hiyo. Zingine inadaiwa zinakwenda kujenga Shule ya Msingi Msasani,lakini hilo halikuwa lengo la TAMISEMI! Na nani kwanza mwenye uhakika kwamba hizo fedha zitafika huko hazitaishia hewani.

Kama muendelezo wa uozo wa Wilaya,ni muda wa zaidi ya miezi miwili sasa wananchi hawana maji.Sababu MORUWASA wanasema eti pump imeagizwa nje ya nchi!

Hili haliingii akilini, pump ya maji ya kisima cha maji inaagizwa nje ya nchi?Siamini kwamba Tanzania tupo so low.

I strongly believe pump zipo kuna matatizo somewhere yasiyo ys lazima lakini wananchi wanalipa gharama ya uzembe MORUWASA.Na kwa kuwa Wilaya kwa ujumla mambo yapo hovyoo,nani amfunge paka kengele.

Wito wangu kwa TAMISEMI, Wilaya ya Mvomero inahitaji kufumuliwa kabisa,hakuna linaloendelea,sio kufanya cosmetic changes.Please please waokoeni wananchi wa Mvomero katika janga hili.
Ni kweli ukileta umama Mvomero unakufa kuna mtu mmoja alikuwa hr alileta wakamuua. Mvomero siyo kabisa
 
Mkuu hii ni JF ukiamua kufichua maovu "weka wazi kama ya mbuzi" huyo kiongozi anaefuja raslimali za umma mtaje na cheo chake.
Mpaka mwisho wa bandiko cha mhimu ulichoelezea ni maji na pesa ya ujenzi wa shule. Hilo la ushirikina sijui kulongwa ni myth sio applicable kwenye utumishi wa umma.
Na lastly declare interest kwamba wewe ni mtumishi ktk kada mojawapo hapo wilayani,
1.Nimesema wazi kwamba mimi sio mtumishi,ila ni mkazi wa Wilaya hiyo.
2.Hakuna haja ya kutaja majina,kama TAMISEMI wapo serious wakifuatilia watapata taarifa zote kwa watumishi.
3.Kuhusu fedha TAMISEMI wakiwasiliana na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mbigiri au kamati ya Shule,watapata taarifa zote.
 
1.Nimesema wazi kwamba mimi sio mtumishi,ila ni mkazi wa Wilaya hiyo.
2.Hakuna haja ya kutaja majina,kama TAMISEMI wapo serious wakifuatilia watapata taarifa zote kwa watumishi.
3.Kuhusu fedha TAMISEMI wakiwasiliana na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mbigiri au kamati ya Shule,watapata taarifa zote.
Ukiona madudu yamekuwa mengi ujue ofisi ya DT inatakiwa yote ifumuliwe pengine wametumikia hapo kwa muda mrefu.
Umenikumbusha kipindi cha magu kuna jamaa yangu alikuwa hapo kama mhasibu wa mapato/makusanyo ya wilaya, walimfanyia figisu akawa demoted mpaka mhasibu wa shule akapiga chini.
 
Kwa kuandika bandiko hili mtu asije akadhani kwamba mimi ni mtumishi,sio ni mdau wa maendeleo ninayekerwa na hali halisi ilivyo katika Wilaya yangu ya Mvomero.Taarifa nyingi zinakera,ndio zinakera sana,ni kama Wilaya haina mwenyewe.

Kila mahali ushirikina umekuwa gumzo, wafanyikazi wanashindwa kutoa sauti zao kufunua maovu kwa kuwa wanaogopa kulogwa. Ndio,hofu ya uchawi imeikumba Wilaya ya Mvomero.

Rasilimali za serikali sasa ni mali za watu binafsi na hakuna anayekemea tatizo hilo kwa sababu ya kuogopa kulogwa.Wizi wa mali za uma nao ni kitu cha kawaida,huku wahusika wa matukio hayo wakiamini kwamba hata kama watajulikana hakuna hatua zitakazochukuliwa kwa kuwa wataloga!

Siajabu Mvomero mtu akapelekwa masomoni na asipewe hela ya kujikimu akiwa masomoni.Haya yametokea,na akihoji anaambiwa yeye kafuata masomo.

Siajabu yakaandikwa madokezo ya malipo majina ya wafanyikazi yakaandikwa,zikatiwa sahihi zisizo zao,na fedha ikachukuliwa na mtu mwingine kabisa.

Hivi karibuni Sh.300 million zilitolewa kwa ujenzi wa madarasa Shule ya Msingi Mbigiri na TAMISEMI,lakini ni Sh.80 million tu zilizokwenda kwenye Shule hiyo. Zingine inadaiwa zinakwenda kujenga Shule ya Msingi Msasani,lakini hilo halikuwa lengo la TAMISEMI! Na nani kwanza mwenye uhakika kwamba hizo fedha zitafika huko hazitaishia hewani.

Kama muendelezo wa uozo wa Wilaya,ni muda wa zaidi ya miezi miwili sasa wananchi hawana maji.Sababu MORUWASA wanasema eti pump imeagizwa nje ya nchi!

Hili haliingii akilini, pump ya maji ya kisima cha maji inaagizwa nje ya nchi?Siamini kwamba Tanzania tupo so low.

I strongly believe pump zipo kuna matatizo somewhere yasiyo ys lazima lakini wananchi wanalipa gharama ya uzembe MORUWASA.Na kwa kuwa Wilaya kwa ujumla mambo yapo hovyoo,nani amfunge paka kengele.

Wito wangu kwa TAMISEMI, Wilaya ya Mvomero inahitaji kufumuliwa kabisa,hakuna linaloendelea,sio kufanya cosmetic changes.Please please waokoeni wananchi wa Mvomero katika janga hili.
Sina hamu na wilaya hii
 
Kwa kuandika bandiko hili mtu asije akadhani kwamba mimi ni mtumishi,sio ni mdau wa maendeleo ninayekerwa na hali halisi ilivyo katika Wilaya yangu ya Mvomero.Taarifa nyingi zinakera,ndio zinakera sana,ni kama Wilaya haina mwenyewe.

Kila mahali ushirikina umekuwa gumzo, wafanyikazi wanashindwa kutoa sauti zao kufunua maovu kwa kuwa wanaogopa kulogwa. Ndio,hofu ya uchawi imeikumba Wilaya ya Mvomero.

Rasilimali za serikali sasa ni mali za watu binafsi na hakuna anayekemea tatizo hilo kwa sababu ya kuogopa kulogwa.Wizi wa mali za uma nao ni kitu cha kawaida,huku wahusika wa matukio hayo wakiamini kwamba hata kama watajulikana hakuna hatua zitakazochukuliwa kwa kuwa wataloga!

Siajabu Mvomero mtu akapelekwa masomoni na asipewe hela ya kujikimu akiwa masomoni.Haya yametokea,na akihoji anaambiwa yeye kafuata masomo.

Siajabu yakaandikwa madokezo ya malipo majina ya wafanyikazi yakaandikwa,zikatiwa sahihi zisizo zao,na fedha ikachukuliwa na mtu mwingine kabisa.

Hivi karibuni Sh.300 million zilitolewa kwa ujenzi wa madarasa Shule ya Msingi Mbigiri na TAMISEMI,lakini ni Sh.80 million tu zilizokwenda kwenye Shule hiyo. Zingine inadaiwa zinakwenda kujenga Shule ya Msingi Msasani,lakini hilo halikuwa lengo la TAMISEMI! Na nani kwanza mwenye uhakika kwamba hizo fedha zitafika huko hazitaishia hewani.

Kama muendelezo wa uozo wa Wilaya,ni muda wa zaidi ya miezi miwili sasa wananchi hawana maji.Sababu MORUWASA wanasema eti pump imeagizwa nje ya nchi!

Hili haliingii akilini, pump ya maji ya kisima cha maji inaagizwa nje ya nchi?Siamini kwamba Tanzania tupo so low.

I strongly believe pump zipo kuna matatizo somewhere yasiyo ys lazima lakini wananchi wanalipa gharama ya uzembe MORUWASA.Na kwa kuwa Wilaya kwa ujumla mambo yapo hovyoo,nani amfunge paka kengele.

Wito wangu kwa TAMISEMI, Wilaya ya Mvomero inahitaji kufumuliwa kabisa,hakuna linaloendelea,sio kufanya cosmetic changes.Please please waokoeni wananchi wa Mvomero katika janga hili.
Amekuja Mtetezi , Waziri Mchengelwa
 
Ukiona madudu yamekuwa mengi ujue ofisi ya DT inatakiwa yote ifumuliwe pengine wametumikia hapo kwa muda mrefu.
Umenikumbusha kipindi cha magu kuna jamaa yangu alikuwa hapo kama mhasibu wa mapato/makusanyo ya wilaya, walimfanyia figisu akawa demoted mpaka mhasibu wa shule akapiga chini.
Aisee,Wilaya hii noma.Na yupo Mwenyekiti wa Halimashauri Ex.Std.III.Huyo ndiye ameambukiza Halimashauri yote ushirikina,na ni mpigaji kweli kweli.Ukimzuia tu kwenye upigaji,aidha uondolewe kwenye position yako kabisa,uwe demoted au ulogwe ufe.Hali ya Mvomero ni mbaya frankly,something needs to be done, and quickly.
 
Kama mnaogopa wenyewe kusema kisa kuhofia kurogwa, tuwasaidiaje? Kama haki yako unakaa kimya kesho ukidhalilishwa utafungua mdomo?

Tujifunze kuhoji kwenye haki, vinginevyo tunatengeneza taifa la waoga na watu wasioweza kujisemea kisa hofu na mashaka ya kipuuzi

Nb. Ushauri wangu ni huu, damu ya Yesu inaponya, wamwamini Mungu na waache hofu za kijinga
 
Kama mnaogopa wenyewe kusema kisa kuhofia kurogwa, tuwasaidiaje? Kama haki yako unakaa kimya kesho ukidhalilishwa utafungua mdomo?

Tujifunze kuhoji kwenye haki, vinginevyo tunatengeneza taifa la waoga na watu wasioweza kujisemea kisa hofu na mashaka ya kipuuzi

Nb. Ushauri wangu ni huu, damu ya Yesu inaponya, wamwamini Mungu na waache hofu za kijinga
Wengi hawajamuamini Mungu ndio maana wana hofu.Hata hivyo taarifa niliyotoa ni detailed enough kwa TAMISEMI kuweza kuchukua hatua stahiki,kama wapo interested.
 
Hivi karibuni Sh.300 million zilitolewa kwa ujenzi wa madarasa Shule ya Msingi Mbigiri na TAMISEMI,lakini ni Sh.80 million tu zilizokwenda kwenye Shule hiyo. Zingine inadaiwa zinakwenda kujenga Shule ya Msingi Kwamhuzi,lakini hilo halikuwa lengo la TAMISEMI! Na nani kwanza mwenye uhakika kwamba hizo fedha zitafika huko hazitaishia hewani.

Kama muendelezo wa uozo wa Wilaya,ni muda wa zaidi ya miezi miwili sasa wananchi hawana maji.Sababu MORUWASA wanasema eti pump imeagizwa nje ya nchi!

Hili haliingii akilini, pump ya maji ya kisima cha maji inaagizwa nje ya nchi?Siamini kwamba Tanzania tupo so low.

I strongly believe pump zipo kuna matatizo somewhere yasiyo ys lazima lakini wananchi wanalipa gharama ya uzembe MORUWASA.Na kwa kuwa Wilaya kwa ujumla mambo yapo hovyoo,nani amfunge paka kengele.

Wito wangu kwa TAMISEMI, Wilaya ya Mvomero inahitaji kufumuliwa kabisa,hakuna linaloendelea,sio kufanya cosmetic changes.Please please waokoeni wananchi wa Mvomero katika janga hili.
Halafu PCCB wapo pua na mdomo na DC na DED
 
Back
Top Bottom