Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That is a very good answerPCCB nao si watu wa kuamini sana mkuu,sometimes they are collaborators.
Kumbe ni Songea eeh sawa sawa roganeni tuUmechanganya madesa mkuu. Hilo limetokea Songea huko.
Hakuna haja ya kutaja majina,taarifa niliyotoa inatosha TAMISEMI kuweza kuchukua hatua stahiki.Waende Wilayani wakae na wafanyakazi wa Halimashauri,Hospitali ya Wilaya na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ,watapata taarifa zote.Usiogope
Wataje hao viongozi wazembe na wala rushwa, pamoja na wote walioshiriki kufuja pesa watashughulikiwa kisheria
Kuhusu kurogwa Hilo serikali kupitia wizara ya TAMISEMI hawataweza kufanya lolote kwasababu halina ushahidi na halithibitiki
Utumishi yupo Simbachawene na Tamisemi ndio MchengelwaAmekuja Mtetezi , Waziri Mchengelwa
Nani huyu anaua wenzie?Ni kweli ukileta umama Mvomero unakufa kuna mtu mmoja alikuwa hr alileta wakamuua. Mvomero siyo kabisa
Mwenyekiti wa halmashauri amehusika kuhamisha fedha hizo?Aisee,Wilaya hii noma.Na yupo Mwenyekiti wa Halimashauri Ex.Std.III.Huyo ndiye ameambukiza Halimashauri yote ushirikina,na ni mpigaji kweli kweli.Ukimzuia tu kwenye upigaji,aidha uondolewe kwenye position yako kabisa,uwe demoted au ulogwe ufe.Hali ya Mvomero ni mbaya frankly,something needs to be done, and quickly.
Watumishi wachawiNani huyu anaua wenzie?
Wameamua kumwagiana mboga, hakuna jipyaKumbe Tamisemi pia inahusika na ushirikina.
Aisee,inaonyesha kwamba wewe sio mtu serious hata kidogo.Na una bahati kwamba upo mbali na mimi na hupo chini ya mamlaka yangu,ningeku-wajibisha.Watu waliopewa dhamana ya kuwatumikia wenzao wanafanya mambo ya hovyo mpaka wana-athiri maisha ya wenzao, halafu wewe una downplay hiyo hali unaiona si kitu.No,lazy faire attitude ya nanma hiyo haikubaliki,Watanzania lazima tubalike.Na ndio maana watawala wanatuonea because of lack of seriousness.Wameamua kumwagiana mboga, hakuna jipya