Wakwangu aliomba kusoma PGM wamempanga PCM IlboruSelection za mwaka huu sijui wamezingatia nini, unakuta mtoto alijichagulia masomo yake ya Arts mara anapelekwa Science, na aliyechagua masomo ya science.
Mdogo wangu hana raha hapa alichagua masomo ya Arts ila amepelekwa PGM Songea Boys.
Mods please msiunganishe Uzi wangu 😭 , huu Uzi unajitegemea
🤣🤣🤣🤣🤣sere kale ya mama kizimkaziSelection za mwaka huu sijui wamezingatia nini, unakuta mtoto alijichagulia masomo yake ya Arts mara anapelekwa Science, na aliyechagua masomo ya science.
Mdogo wangu hana raha hapa alichagua masomo ya Arts ila amepelekwa PGM Songea Boys.
Mods please msiunganishe Uzi wangu 😭 , huu Uzi unajitegemea
Kama shule anayoenda wana comb anayoitaka na yeye mtoto amefaulu masomo hayo ataenda kubadilishia huko huko. Kama hawana hiyo comb anayoitaka hapo ni changamotoSelection za mwaka huu sijui wamezingatia nini, unakuta mtoto alijichagulia masomo yake ya Arts mara anapelekwa Science, na aliyechagua masomo ya science.
Mdogo wangu hana raha hapa alichagua masomo ya Arts ila amepelekwa PGM Songea Boys.
Mods please msiunganishe Uzi wangu 😭 , huu Uzi unajitegemea
mwache aende akapate one yake nzuri ,PCM inampa uwanja mpana chuo ,pia hamna shule ya maana yenye PGM, hapo Ilboru kwa PCM one ni kugusa tu na anapanuka kiakili sababu anakutana na vipanga.Wakwangu aliomba kusoma PGM wamempanga PCM Ilboru
Yeap nimeshakubali aende tu kusoma PCM , maana alipomaliza form four nilimuuliza unataka ufanye nini kaniambia anataka kusoma computer science nikamnunulia computer na Internet ya vodacom superkasi mpaka sasa anaweza kuunda website vizuri na baadhi ya mifumo mwenyewe na amejifunza mwenyewemwache aende akapate one yake nzuri ,PCM inampa uwanja mpana chuo ,pia hamna shule ya maana yenye PGM, hapo Ilboru kwa PCM one ni kugusa tu na anapanuka kiakili sababu anakutana na vipanga.
Sasa mbona huyu kafanyiwa vizuri tyuu, tena kapelekwa special.Wakwangu aliomba kusoma PGM wamempanga PCM Ilboru