TAMISEMI siyo vibaya kama mtasema ni lini selection ya ajira kwenye sekta ya afya na elimu itatoka

TAMISEMI siyo vibaya kama mtasema ni lini selection ya ajira kwenye sekta ya afya na elimu itatoka

Ni kweli japo watu wengi wa kozi nyingine hawaku apply kwa kasi upande wa social work kwakua toka mwanzo tangazo lilijipambanua kua ni kada ya afya

Walikuja kusanuka muda umeshapita ila yote kwa yote tuombe Mungu tu
Kumbe hadi sisi sosho woki? Doh 😣, mwaka juzi broh angu alisaga meno.. sema maisha ndugu zangu hatana formula. Toka nimalize chuo mtaani hata mwaka bado kuajiriwa naona utumwa tu. Nafkiria kuacha nifanye mambo mengine
 
Nimeishiwa na nguvu kabsaa
Na social welfare karibu kozi zote za social science zimoo. Huku na baadhi ya watu wa humanity na development studies ambao karibu Kila chuo kikuu wapooo. Haya idadi hii ya watu si mtifuano huo? Hawa jamaa wanatutakia memba kweli au ndo 😭
 
Niliwaambia toka mwanzo mkawa mnaendekeza mihemko haya huo hapo sasa pambaneni nao
Kule hakuna gurantee ambao hatuna kazi ndo presha ila uzoef unahitaj maan haaandik wala.kuchagua dingi
 
Na social welfare karibu kozi zote za social science zimoo. Huku na baadhi ya watu wa humanity na development studies ambao karibu Kila chuo kikuu wapooo. Haya idadi hii ya watu si mtifuano huo? Hawa jamaa wanatutakia memba kweli au ndo [emoji24]
Social welfare pale kwenye pdf hawafik 10, just imagine
 
Back
Top Bottom