Vp mkuu unefanikiwa kupenya??Teeyaarr pita juu hapo Kuna pdf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp mkuu unefanikiwa kupenya??Teeyaarr pita juu hapo Kuna pdf
KONEKSHENI KALI. hili la kuzingatia sana mana hata barua au kimemo Cha mbunge hapa kinaweza kisifue dafuKwote elimu na afya kutoboa ni bahat tu mzee labda kama una connection kali
Tuache broWadau mliokiwa mnaulizia mkeka mbona hatuwasikii mkisema mmekimbia wapiiiiiii? Mkuje mkujeeeee, mkeka umetoka, mkeka umetemaaaaaa.
Niliwaambia toka mwanzo mkawa mnaendekeza mihemko haya huo hapo sasa pambaneni naoTuache bro
Kumbe hadi sisi sosho woki? Doh 😣, mwaka juzi broh angu alisaga meno.. sema maisha ndugu zangu hatana formula. Toka nimalize chuo mtaani hata mwaka bado kuajiriwa naona utumwa tu. Nafkiria kuacha nifanye mambo mengineNi kweli japo watu wengi wa kozi nyingine hawaku apply kwa kasi upande wa social work kwakua toka mwanzo tangazo lilijipambanua kua ni kada ya afya
Walikuja kusanuka muda umeshapita ila yote kwa yote tuombe Mungu tu
Na social welfare karibu kozi zote za social science zimoo. Huku na baadhi ya watu wa humanity na development studies ambao karibu Kila chuo kikuu wapooo. Haya idadi hii ya watu si mtifuano huo? Hawa jamaa wanatutakia memba kweli au ndo 😭Nimeishiwa na nguvu kabsaa
Kule hakuna gurantee ambao hatuna kazi ndo presha ila uzoef unahitaj maan haaandik wala.kuchagua dingiNiliwaambia toka mwanzo mkawa mnaendekeza mihemko haya huo hapo sasa pambaneni nao
Social welfare pale kwenye pdf hawafik 10, just imagineNa social welfare karibu kozi zote za social science zimoo. Huku na baadhi ya watu wa humanity na development studies ambao karibu Kila chuo kikuu wapooo. Haya idadi hii ya watu si mtifuano huo? Hawa jamaa wanatutakia memba kweli au ndo [emoji24]
Hehhe.. Naona una shamra shamra kama zote. Hata kama kuna waliokosa yuko mwamuzi juu ya viumbe wote hatowatupa.Teeyaarr pita juu hapo Kuna pdf
Iko wapi mkuuu mbona naitafuta hiyoo? Help me to access itSocial welfare pale kwenye pdf hawafik 10, just imagine
Hapana kiongozi Mimi haziniusu hizi but nasapoti vijana wenzanguHehhe.. Naona una shamra shamra kama zote. Hata kama kuna waliokosa yuko mwamuzi juu ya viumbe wote hatowatupa.
Haziniusu mkuu nasapoti vijana wezangu japo blaza angu kapenya ni furaha mana alishaanza weuka mtaa ulimchosha kiukweliVp mkuu unefanikiwa kupenya??
Sisi tulishazoea huku kitaa na tulishachana mavyeti.Kule hakuna gurantee ambao hatuna kazi ndo presha ila uzoef unahitaj maan haaandik wala.kuchagua dingi
Poleni sana njooni mtaani tupambane.Social welfare pale kwenye pdf hawafik 10, just imagine
Kuna afisa maabara daraj la 11 wapo 15Iko wapi mkuuu mbona naitafuta hiyoo? Help me to access it
Joan wewe je umepata?Hehhe.. Naona una shamra shamra kama zote. Hata kama kuna waliokosa yuko mwamuzi juu ya viumbe wote hatowatupa.
Sisi tulishaamua kuanza hii elimu tamu ya kitaa na sasa na miaka 4 kitaani😂😂😂Hongereni mliopata mtaa ni noma unaeza uka run crazy