Barua na vyeti n vitu viwili tofauti, usichsnganyeKwenye tangazo la ajira Kuna kipengele wanataka u sign barua ya maombi Kisha uiambatanishe na vyeti vya taaluma husika kupitia sanduku la posta walilotaja naomba ufafanuzi kidgo maana sijaelewa kwamba hivyo vyeti na barua vitumwe kwa njia ya posta badala ya online.
Niwashukuru Mbanga Jr, Mwifwa kwa mawazo yenu lile swala la kuattach cheti cha chuo mara mbili kwa majina ya chuo kama nilivyoelezea hapa, nimewatumia email desk top ya ict kwa msaada wa kuondolewa icho cheti na wamefanya hivyo japo nimewasumbua kwa kutuma email nimetuma zaidi ya mara tatu na siku tofauti tofauti, wamekiondoa kimoja na kimebaki kimoja pale .Nime edit barua kwa mara ya mwisho na ku_update tena maombi. 🙏Nime edit weeee nime edit sana tu na kuresend mara kibao hahahaSina kingine zaidi ya cheti icho kimoja nilicho attach mara mbili sehemu ya accademic qualification ambapo hakuna option ya delete, na chanzo cha kuatach itokee mara mbili ilikuwa kwenye orodha chuo changu kimeandikwa ruaha university college(Ruco) nikaatach cheti, baada ya hapo nikawaza kwenye cheti imeandikwa Ruaha catholic university (Rucu) hivyo nikaselect others nikaattach tena cheti icho icho na sikujua kama nisingeweza kufuta ile ya mwanzo, japo Ruco na Rucu ni sawa tu utofauti ni zamani ilikuwa ruco na sasa ni rucu.
Ahsante nawasilisha mwenye ushauri zaidi asisite kunipa
N furaha yangu kuona umekamilisha kila kitu, kujaza taarifa zako kwenye huu mfumo ipo ndani ya uwezo wako ila kupata kazi ni baraka za Mungu, hvy bc kila mtu afanye wajibu wake.Niwashukuru Mbanga Jr, Mwifwa kwa mawazo yenu lile swala la kuattach cheti cha chuo mara mbili kwa majina ya chuo kama nilivyoelezea hapa, nimewatumia email desk top ya ict kwa msaada wa kuondolewa icho cheti na wamefanya hivyo japo nimewasumbua kwa kutuma email nimetuma zaidi ya mara tatu na siku tofauti tofauti, wamekiondoa kimoja na kimebaki kimoja pale .Nime edit barua kwa mara ya mwisho na ku_update tena maombi. 🙏Nime edit weeee nime edit sana tu na kuresend mara kibao hahaha
Yaani mchakato ufanywe na utumishi halafu interview isiwepo?Usaili unaweza usiwepo.
Mwaka jana wizara ya afya walitoa ajira post 289 na waliomba kupitia Utumishi waliitwa kazini na hawakufanya interview.Yaani mchakato ufanywe na utumishi halafu interview isiwepo?
Lazima watu wafanye interview, ingawaje serikali iwe makini na hizi interview vijana wanaweza kukutana wakapanga mipango yao huko.
Hawakuomba kupitia utumishi, ukipitia utumishi lazima ufanye interview.Mwaka jana wizara ya afya walitoa ajira post 289 na waliomba kupitia Utumishi waliitwa kazini na hawakufanya interview.
Waliomba kupitia UtumishiHawakuomba kupitia utumishi, ukipitia utumishi lazima ufanye interview.
Waliomba kupitia Portal ya MOH Sio utumishiWaliomba kupitia Utumishi
Huyo jamaa anajipa moyo tu ila interview atafanya.Waliomba kupitia Portal ya MOH Sio utumishi
Unahisi naogopa.Huyo jamaa anajipa moyo tu ila interview atafanya.
Natokaje hapa wakuu cc Mbaga jrNaomba nisaidieni hapa Kila nikifungia my application yanakuja hayo maandishi kulikoni?
Natokaje hapa wakuu cc Mbaga jr
Hiyo account mbona sio Ajira Portal,hapo umeenda wapii??Natokaje hapa wakuu cc Mbaga jr
Juzi mkuuUlikuwa umejiunga na ajira portal tangu zamani au ndo umejiunga juzi?
DuuhHiyo account mbona sio Ajira Portal,hapo umeenda wapii??
Yawezekana umekosea umefungua account tofauti na ya ajira portal au umeenda kwenye kada isiyo yakwakoJuzi mkuu